Mwanamama kupitia Uhuru FM, adai kuzalishwa na Askofu Gwajima na kutelekezwa!

Alimbaka?
Alidai kuwa ali-take advantage ya kutafuta msaada kiroho, na kwamba alilazimishwa. Ukweli wa jambo hili mimi sijui aisee, niliripoti tu kilichokuwa kinaendelea baada ya kusikia watu mtaani wanaongelea uwepo wa mama huyo studio. So, hii ni habari tu kama habari nyingine zinazoripotiwa hapa jamvini, ingawa watu wamekuwa na tabia ya kukashifu wanapoguswa baadhi ya watu.
 
Sawa yote najua ni kutaka kumchafua VIP vyeti vipo kweli Bashiteee unalo
 
Mkuu uwe una recognise Source. Kama ni fb page ya Yericko Nyerere pia useme.

Hii movie ime buma!!
 
Asante sana mkuu kwa taarifa kiungwana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…