Bralicom
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 572
- 391
Hahaaaaaa kimenukani tamaa za mwili zimemponza dada asitafute mchawi alaf ile ni starehe wote wali enjoy sana tuu atuondokee hapa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaaaaaa kimenukani tamaa za mwili zimemponza dada asitafute mchawi alaf ile ni starehe wote wali enjoy sana tuu atuondokee hapa!
Alidai kuwa ali-take advantage ya kutafuta msaada kiroho, na kwamba alilazimishwa. Ukweli wa jambo hili mimi sijui aisee, niliripoti tu kilichokuwa kinaendelea baada ya kusikia watu mtaani wanaongelea uwepo wa mama huyo studio. So, hii ni habari tu kama habari nyingine zinazoripotiwa hapa jamvini, ingawa watu wamekuwa na tabia ya kukashifu wanapoguswa baadhi ya watu.Alimbaka?
Sipo upande wa Makonda wala upande wa Gwaj.Waseme yooote sisi tunataka vyeti na usawa.
Yani wanatumika kama ndom kudadadeki..yani huyu Dada hata hajielewiHawa ndio wale wapuuzi watumikao na ccm kama makarai ya ujenzi
Aaaaaaaa!!!!,inaonekana ni ya ukweli bwana,na mtoto anaonekana anamfanana fanana vile.Kama ni Uhuru Fm ziwezi amini kwanza hiyo ni redio ya mafisiem redio ya chama cha kina bashite so ni mpango
Ni kosa la jinai kutelekeza mtoto w vepeKumjaza mwanamke mimba si kosa la jinai...
Kufoji vyeti ndo jinai tunayotaka ipatiwe ufumbuzi
Mali ya CCMHivi Uhuru fm Mali ya nani tukijua mmilimki wake basi
Asante sana mkuu kwa taarifa kiungwanaAlidai kuwa ali-take advantage ya kutafuta msaada kiroho, na kwamba alilazimishwa. Ukweli wa jambo hili mimi sijui aisee, niliripoti tu kilichokuwa kinaendelea baada ya kusikia watu mtaani wanaongelea uwepo wa mama huyo studio. So, hii ni habari tu kama habari nyingine zinazoripotiwa hapa jamvini, ingawa watu wamekuwa na tabia ya kukashifu wanapoguswa baadhi ya watu.