Limemg'ang'aniaSawa yote najua ni kutaka kumchafua VIP vyeti vipo kweli Bashiteee unalo
Shati jeupe limeingia doa kubwaYani imetengenezwa balaa.
Na ni mpango wa clouds kumsafisha Bashite.
Vyeti kwanza
Hawajui ccm huyoYani wanatumika kama ndom kudadadeki..yani huyu Dada hata hajielewi
Kuzaa siyo dhambi ila kufoji vyeti na kujipatia mshahara kwa kumdanganya muajiri ndio unastahili kifungoAaaaaaaa!!!!,inaonekana ni ya ukweli bwana,na mtoto anaonekana anamfanana fanana vile.
Siyo jinai kabisaHivi kuzaa na mwanamke ni kosa la jinai?Nauliza tu!
Wamsafishe na ishu ya magari na jinsi alivyoyapataYani imetengenezwa balaa.
Na ni mpango wa clouds kumsafisha Bashite.
Vyeti kwanza
Basi sawa. Wote mtelekeza mtoto na mfoji vyeti wapelekwe mahakamani wakajibu tuhuma...Ni kosa la jinai kutelekeza mtoto w vepe