Mwanamama kupitia Uhuru FM, adai kuzalishwa na Askofu Gwajima na kutelekezwa!

Mwanamama kupitia Uhuru FM, adai kuzalishwa na Askofu Gwajima na kutelekezwa!

kila ninapoingia ni makonda au bashite makonda au bashite

Kwa kweli mtamuua mtoto wa Sizonje
 
Hii habari yao imekataliwa kila ninapopita kusoma comments za watu, lile le tumboooz limeipost pia hawaoni aibu duuu
 
Ubaya ni kwamba wakipima dna imekula kwa Gwajima. Maana kama ni hela inafanya haya yote hata huko hospital lazina kuna chain ya hiyo plan
 
Wanawake kama hawa wanakosa busara sana. Kama baba haleti matunzo ya mtoto, hatua ya kwanza unaongea nae. Pili unaongea na wazee wake/wachungaji wenzake(kwa case ya Gwajima). Tatu unaenda ustawi wa jamii. You NEVER go to the press because no matter what, you are tied together through the kid. Press inapenda hot news, baada ya mwaka habari kwamba Gwajima ana mtoto wa nje ya ndoa haitakuwa na uzito tena na utakosa pa kukimbilia. Kwenda kwenye press inatakiwa iwe silaha ya mwisho au risasi ya mwisho-kumbuka silaha/risasi ya mwisho haitumiki; kazi yake ni kutishia adui tu.

Kuhusu Gwajima, watu wengi ambao wako sober hawaamini mafundisho na mwenendo wa Gwajima. Ni kama mhubiri flani mjanja mjanja. Kwa pesa aliyonayo Gwajima, mmoja kati ya wanawake 100 ndio hatajipendekeza na kumkataa. Women are all about fame and money. Mimi sihangai kwa Gwajima kuzini nje ya ndoa yake. Hana ukuu wowote kulinganisha na watu wa mungu waliokuwa wanaongea na Mungu na ambao walitumbukia dhambini kama ifuatavyo:
  1. Baba wa imani Ibrahimu alimgonga beki tatu wake na kusababisha msukosuko kwa familia. Mimi binafsi, beki tatu namla kwa macho-sitarajii ataiona chupi yangu.
  2. Mfalme Daudi alimla mke wa askari wake wakati mumewe yuko vitani halafu akataka kumpakazia ili ionekane mumewe ndo ametia mimba, lakin ya Mungu mengi ikashindikana.
  3. Solomon mwenye hekima na busara tele alikuwa na wake 700 na mademu 300(usiniulize alikuwa anawashughulikiaje wakati vijana mnawasumbua masai na mitishamba ya kuongeza nguvu).
Sitetei tuhuma za Gwajima, lakini namuelewa maana mtu wa Mungu hana kilevi kingine chochote😀 zaidi ya utamu. Sasa kama timu ya Makonda inadhani hii ni counterstrike, basi wajue kosa la Gwajima ni kutenda dhambi ambayo atahukumiwa na Mungu, lakini yeye Madereva ametenda kosa la jinai ambalo adhabu yake ni miaka 7 (na faini). Kosa la madereva haliwezi kukwepeshwa hata na mkuu (anaweza tu kumsamehe baada ya kuhukumiwa na mahakama) wakati Gwajima anahukumiwa na Mungu.

Gwajima kumtia mtu mimba ni sawa na mbwa kumuuma mbuzi, lakini mpiganaji wa madawa ya kulevya kuwa na cheti cha kufoji na kupokea hongo za magari kutoka kwa watuhumiwa hiyo ni sawa na mbuzi kumuuma mbwa.
 
magu analea upuuzi huu. bashite anamdhalilisha aisee
 
Hii ndio mambo tusiyopenda, mwanamama anahojiwa na Anthony Joseph anadai kazalishwa na askofu. Half katelekezwa.

> Anasema yu tayari kupima DNA
> Anasema mtoto ni mjanja mjanja kama Gwajima.


kuzaa na mtu si kosa ila kughushi vyeti ni kosa kisheria

bashite weka vyetiiiiii
 
Ndio hiyo aliokuwa analazimisha irushwe shilawadu daaaaa vyet na mtoto wap na wap weka vyet mezan hili litafuata bashite
 
Hata ikiwa kweli kwani alimbaka? Si aende tamwa..... tunataka vyeti tu hizo ngenga ngenga nyingine tupa kuleeeee
 
Kwanini ukutimia condoms, ulikusudia kumdhuru baba askofu.hiyo zawadi yako wenzako wanalea tu ni kawaida hapa kazi tu
 
Hahaha
Eti mjanja mjanja kama gwajima daaah....

Ila hawa uhuru FM kwa zaidi ya miezi miwili trending ni bashite wa koromije mbona hawajatia neno hata moja ila hii imekua fasta kama moto wa nyika [emoji45] [emoji45] [emoji45]
 
Hii ndio mambo tusiyopenda, mwanamama anahojiwa na Anthony Joseph anadai kazalishwa na askofu. Half katelekezwa.

> Anasema yu tayari kupima DNA
> Anasema mtoto ni mjanja mjanja kama Gwajima.




Tumuombee kwa Mungu huyo mtoto asijeuza unga kama baba yake na kufanya jamii misukule.
 
Naona Gwajima achague Kufanya kazi ya Kanisa au afanye siasa maana anatuhuma Sana za kuzalisha wake za watu. Halafu anatumia madhabahu kuhibiri siasa kitu ambacho ni kinyume.Nachelea kumuamini huyu anayejiita mtumishi wa Mungu.
Umwamini au usimwamini huongezi wala kupunguza kitu kwake.... Gwajima hajaribiwi...... mke wa mtu kuzalishwa na mme wa mtu ni kupenda mwenyewe na inaonyesha waume zao hawawamudu kunako 6x6... kama anawabaka hilo ni la kujadili ila kama wanakubaliana naye haituhusu.... hapa issue ni vyeti viwekwe mbele kama tai, otherwise hatunyamazi ng'oooo
 
Back
Top Bottom