Omukitwe
Member
- Mar 29, 2016
- 91
- 91
Acha utoto ww gwajima anamfunga mtu yy ana jera? Au yy amekuwa jaji?Anadai alikuwa muumini wake. Mtoto ni Gwajima copyright. Anadai alivyomfuata askofu akamtishia kumfunga. Mtoto anaitwa Max
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha utoto ww gwajima anamfunga mtu yy ana jera? Au yy amekuwa jaji?Anadai alikuwa muumini wake. Mtoto ni Gwajima copyright. Anadai alivyomfuata askofu akamtishia kumfunga. Mtoto anaitwa Max
HahahahahahaHa haaaaa, tuko tayari kulia mama na mtoto, tena mimi nipeni nimlee mama, Gwajima endelea na mambo ya vyeti.
Halafu kondoo wanazidi kufurika, kesho me mwenyewe najiunga na askofu Gwajima.... mzee wa factMchungaji huyu nadhani ndo anaeongoza hapa Tz kwa Skendo Chafua Mara Kavunja Ndoa ya mwimba kwaya Maarufu Mara Kumfunga Mme wa Mwimba kwaya Mara kampa Ujauuzito Mdada na Kumtelekeza
Enyi kondoo wake Huyu Mchungaji wenu kawapa nn kiasi Mnamng'ang'ania kama Kupe wakati ni Mtu Muovu Mno!!!!
Daaah so mchezoHalafu kondoo wanazidi kufurika, kesho me mwenyewe najiunga na askofu Gwajima.... mzee wa fact
Na DNA hii itasimamiwa na Mange Kimambi, usafiri kwenda Marekani itatumika helicopter ya baba askofu full stopHahaha
Wanabadili upepo, nadhani uzuri kuna DNA testing na hua haidanganyi ila ntashangaa mapema govt itafanyia kazi hii ishu haraka haraka na kuacha ishu ya bashite
achen maneno weka vetiKUNA DADA AITWAE MAMA MAX YUPO KATIKA REDIO UHURU AKITOA USHUHUDA WA KUTIWA UJAUZITO NA KUZALISHWA NA ASKOFU MAARUFU KWA KUDANDIA NA KUROPOKA HOVYO , SASA NA HILI NALO ALIVALIE NJUDA HUKO KANISANI, TAPELI BIN FUSKA MKUBWA
afu unanunua watu wamchafue anayekunyoosha. bashite leta cheti acha blah blahHilo sio tatizo na wala sio habari ya kusisimua.
Umezaliwa na kusoma kwa jina la Daudi Bashite kuanzia primary mpaka Secondary.
Una-fail form 4 alafu unatumia cheti cha mtu mwingine kwenda chuo alafu unakuwa mkuu wa mkoa kwa jina la Paul Makonda.
Baadae siri zinatoka badala ya kutoa vyeti ili ujitetee unaamua kwenda kulia kanisani ili upate huruma za wananchi.
Hili sasa ndio TATIZO na hii ndio habari ya kusisimua.
Gwajima si kiongozi wa kwanza wa dini kumpa mimba muumini wake, wasituchanganye hata ma padri wana implant mimba japo wameagizwa kuto kuzini, Mwingila halikadharika nae alishutumiwa kumpachika mimba muumini wake,hilo si jambo la ajabu hata kidogo waweke vyetiHayo ya mimba sio kosa la jinai sisi tunataka vyeti huo upuuzi wenu peleka Kolomije
alikuwa wapi miaka yote..bashite leta cheti kwanza acha blah blah..tushashitukia mbinu zenuKUNA DADA AITWAE MAMA MAX YUPO KATIKA REDIO UHURU AKITOA USHUHUDA WA KUTIWA UJAUZITO NA KUZALISHWA NA ASKOFU MAARUFU KWA KUDANDIA NA KUROPOKA HOVYO , SASA NA HILI NALO ALIVALIE NJUDA HUKO KANISANI, TAPELI BIN FUSKA MKUBWA