Mwanamama kupitia Uhuru FM, adai kuzalishwa na Askofu Gwajima na kutelekezwa!

Mwanamama kupitia Uhuru FM, adai kuzalishwa na Askofu Gwajima na kutelekezwa!

Duuh.. wajemeni hivi suala la bashite limeshindikana kabisa kusahaulika?

Juzi Fisiem walifukuza wanachama wao.. hilo limepita

Leo uchaguzi TLS limejadiliwa likapita.

Sasa hili la bashite hii wiki ya 3 sasa haliishi tu!!!!

Daudi acha maneno weka vyetiiiiii
 
DNA ikigoma kumhusisha Gwajima
Atasema Nini ?
Jinai ya vyeti haiwezi futwa na Mambo ya mapenzi
Wamekosea kutengeneza clip huyo Dada angeambiwa aseme alibakwa na Gwajima ili iwe jinai na ifunike jinai ya vyeti kwa kuwa kubaka ni 30 yrs wakati jinai ya Bashite aka Paul ni 7yrs
 
Mie naona bora gwajima kamtia mimba wengine wanalawiti vijana wetu....! Kumtia mimba mtu kwa hakika si kosa la jinai....kutekeleza mtoto ni jambo ambalo mama akikaza uzi kidogo hata bila mahakama .....matumizi atapata...si ajabu kwa mtumishi wa mungu kuteleza...aliteleza daudi...samson...suleiman ndo ije iwe kwa gwajima....this is not in the public interest.....what is the public interest ni pale wale maafisa wa serikali wa pale karbu na sayansi mitaa ile pale.....wale jamaa wanaboa kishenz wamenyamazia kitu ambacho ni public interest kabsa....criminal offence kabsa....inaboa sana....but poa....!

Nb: gwajima tafta mmama mwingine...tia mimba...hizo zitakuwa kesi zako na Mungu siye hazituhusu kabsaaa
 
Mchungaji huyu nadhani ndo anaeongoza hapa Tz kwa Skendo Chafua Mara Kavunja Ndoa ya mwimba kwaya Maarufu Mara Kumfunga Mme wa Mwimba kwaya Mara kampa Ujauuzito Mdada na Kumtelekeza

Enyi kondoo wake Huyu Mchungaji wenu kawapa nn kiasi Mnamng'ang'ania kama Kupe wakati ni Mtu Muovu Mno!!!!
Halafu kondoo wanazidi kufurika, kesho me mwenyewe najiunga na askofu Gwajima.... mzee wa fact
 
duh! nchi inaenda wapi hii. vyeti vya bashite ndo vimezua yote haya
 
Hii habari ndio Clouds Tv walikataa isirushwe. Mama kakimbilia huku Uhuru
 
Hahaha
Wanabadili upepo, nadhani uzuri kuna DNA testing na hua haidanganyi ila ntashangaa mapema govt itafanyia kazi hii ishu haraka haraka na kuacha ishu ya bashite
Na DNA hii itasimamiwa na Mange Kimambi, usafiri kwenda Marekani itatumika helicopter ya baba askofu full stop
 
sawa bashite tumekubali huyo maza kapigwa mimba na gwajima, na wewe tunaomba uoneshe vyeti vyako vya kuanzia koromije shule ya msingi
 
KUNA DADA AITWAE MAMA MAX YUPO KATIKA REDIO UHURU AKITOA USHUHUDA WA KUTIWA UJAUZITO NA KUZALISHWA NA ASKOFU MAARUFU KWA KUDANDIA NA KUROPOKA HOVYO , SASA NA HILI NALO ALIVALIE NJUDA HUKO KANISANI, TAPELI BIN FUSKA MKUBWA
achen maneno weka veti
 
Naona ccm imeingia vitani rasmi katika vita ya kumtetea bashite,,

lakini wamebugi,sisi hatuko interested na nani kamtia nani mimba na wapi hiyo mimba imetiwa,
tunataka vyeti au huyu bashite awe jela ,full stop
 
Hilo sio tatizo na wala sio habari ya kusisimua.

Umezaliwa na kusoma kwa jina la Daudi Bashite kuanzia primary mpaka Secondary.

Una-fail form 4 alafu unatumia cheti cha mtu mwingine kwenda chuo alafu unakuwa mkuu wa mkoa kwa jina la Paul Makonda.

Baadae siri zinatoka badala ya kutoa vyeti ili ujitetee unaamua kwenda kulia kanisani ili upate huruma za wananchi.

Hili sasa ndio TATIZO na hii ndio habari ya kusisimua.
afu unanunua watu wamchafue anayekunyoosha. bashite leta cheti acha blah blah
 
Hayo ya mimba sio kosa la jinai sisi tunataka vyeti huo upuuzi wenu peleka Kolomije
Gwajima si kiongozi wa kwanza wa dini kumpa mimba muumini wake, wasituchanganye hata ma padri wana implant mimba japo wameagizwa kuto kuzini, Mwingila halikadharika nae alishutumiwa kumpachika mimba muumini wake,hilo si jambo la ajabu hata kidogo waweke vyeti
 
KUNA DADA AITWAE MAMA MAX YUPO KATIKA REDIO UHURU AKITOA USHUHUDA WA KUTIWA UJAUZITO NA KUZALISHWA NA ASKOFU MAARUFU KWA KUDANDIA NA KUROPOKA HOVYO , SASA NA HILI NALO ALIVALIE NJUDA HUKO KANISANI, TAPELI BIN FUSKA MKUBWA
alikuwa wapi miaka yote..bashite leta cheti kwanza acha blah blah..tushashitukia mbinu zenu
 
Back
Top Bottom