CCM inatetea wahalifuCCM inafanya mambo ya kitoto..., wanamuanza wenyewe Gwajima akijibu wanasema asemehe.... Uhuru fm ni kituo cha chama inajulikana ilo angalau hata angeenda E-FM ningemuelewa kidogo.
CCM tumewazoea, enzi za DR Slaa walisema pia kapora mke wa mtu, wakamtafuta jamaa mume feki wakampa bata kwa muda uchaguzi ulivoisha tu wakamtupilia mbali.hapo ndio utajua walokole wana matatizo makubwa sana.hahahahahaahaahahaa duh!!
Soma upya maandiko ya Yeriko, usikurupuke. Aliyemtaja kufunika uso ni mwandishi anaemhoji binti, sio binti mwenyewe. Pitia post uliyomnukuu Yeriko hapo juu!Duh! Huyu dada amejifunika uso kweli au Yericko ana makengeza!!
Amesema kijana aliyejifunika sura anayemhojiDuh! Huyu dada amejifunika uso kweli au Yericko ana makengeza!!
Mbona Mnafuata kichwa Mchunga Nyinyi Akili zenu Mmemwachia Nani eti Mchungaji Anafufua watu Mbona haendi Mwimbili akafufue watu ila waswahili wanasema Wajinga Ndo waliwaoHalafu kondoo wanazidi kufurika, kesho me mwenyewe najiunga na askofu Gwajima.... mzee wa fact
umekurupuka kama bashite wewe!Duh! Huyu dada amejifunika uso kweli au Yericko ana makengeza!!
Haha umenikumbusha ile clip ya wazazi wa RC ati mama mzazi anamwita mwanae Paulo Makonda...labda alikuwa na private nurse maana kaandika kadi mwanzo mwisho
Teh teeeh uwage unanshtua kwnye newz hot kama hzi
key issue vyeetii.Mbona Mnafuata kichwa Mchunga Nyinyi Akili zenu Mmemwachia Nani eti Mchungaji Anafufua watu Mbona haendi Mwimbili akafufue watu ila waswahili wanasema Wajinga Ndo waliwao
Binafsi nmezaliwa Ubungo Alivyoanza Mchungaji huyo kuhubiri ya kuwa anauwezo wa kufufua watu waliokufa vifo ambavyo sio vya kawaida wakiwemo Misukule alijaza watu wengi sana hapo kanisani kwake Ila baadae wakaja kumgundua kuwa "Anawacheza Shere " wamemkimbia mmebakia nyinyi Vinga'ng'anizi tena Wageni waulizeni Wenyeji wenu wawape Fununu za huyu Muovu aliyevaa vazi la Uchungaji!!!