Mwanamama kupitia Uhuru FM, adai kuzalishwa na Askofu Gwajima na kutelekezwa!

Vyeti vya clinic vya watoto wa wenzio unavitoa vya kwako vya shele unaficha

Kweli bashite hapo amezihirisha ungosha kwaiyo umeona bonge la revange ulijua unamlipua Gwajima kumbe unajishut back

Le mutuz ndio kakufundisha huu upuuzi co ndio akili zake zilpoishia
 
MAMBO YA AJABU SANA KUMTETEA D.A.B PIA KUNUNUA WATU ETI ASKOFU ACHAFUKE NDO KWANZA ANAZIDI KUIMARIKA SASA OLE WAKE HUYO MTOTO ASIWE WA ASKOFU MTATAJANA HADI ULICHOAHIDIWA NA BASHITE. ......MIMBA SIYO AJABU MAANA ILIINGIA SEHEMU HUSIKA JE CHETI NI BASHITE AU PAUL
 
Ufunuo 16:14
14 Hayo, kwa kweli, ni maneno yanayoongozwa na roho waovu nayo yanafanya ishara, nayo yanakwenda kwa wafalme wa dunia nzima inayokaliwa, ili kuwakusanya pamoja kwa vita vya ile siku kuu ya Mungu Mweza-Yote.
 
Ukitaka kuwa mwongo mwenye mafanikio lazima kwanza uujue ukweli na uuelewe vizuri. Sasa tatizo la bashite ni shule haipo na ushamba, najua sio dhambi kua mbumbumbu ila kilaza anapo pewa madaraka ni aibu kwa aliyetoa hayo madaraka.
 
Haha umenikumbusha ile clip ya wazazi wa RC ati mama mzazi anamwita mwanae Paulo Makonda...
Kawaida mzazi humwita mtoto wake kwa jina moja tu....

If you can not do it good, try to make it look good...Bill Gate
Baba alijitahidi asifanye makosa alikuwa anaita Makonda, sasa unajiuliza baba si ndiyo angeita Paul au Daudi-David?
 
Operation81::The final battle for total discipline
Single Touch Double Manifestation.

Kesho BASHITE ataomba poo.
 
Acha upuuzi
1. Mama yupo tayari kupima DNA. unsemaje?
2. Mtoto na gwajima ni copyright. Au wamefanana KWA bahati mbaya?

Shirikisha ubongo na sio unatumia kucha kufikiri
 
Chadema 100 ccm 0 shule ni shule tu
 
Yaani na wewe akili yako imeganda. Unaamini huo upuuzi? Jaribu kidogo kutumia akili.
 
Mm ni medical personnel, tena wa level ya juu, ulichokiandika ni sahihi kabisa, na weakness za vaccine pamoja na documentation, ni dhairi kwamba kuna uongo tena wa hali ya juu ulifanyika,
Umeenda kitaaluma zaidi, hongerah
 
Gwajima kesho atawasha moto hii ni timu safisha bashite wengine wameenda koromije ila gwajima sio mtu wa mchezo mchezo
 
Michuzi alishaacha kupost habari za huyu mtu Paul Daudi siku nyingi sana.
 
KWA MWENDO HUU BALSHITE UTAKUFA BILA MTOTO NA UTAENDELEA KUPIGA NJE.....BORA GWAJIMA ANASINGIZIWA WEWE JE UNASINGIZIWA MAKARATASI TU UNALIA LIA KM MJUKUU WA RUNGWE?
TOA VYETI VYAKO TENA KUANZIA UNAZALIWA HALAFU BRO GWAJIMA YUKO TAYARI KUPIMA D.N.A
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…