Mwanamama kupitia Uhuru FM, adai kuzalishwa na Askofu Gwajima na kutelekezwa!

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hahaha basi wewe ni drug dealer....yaani Rais amuondoe Makonda kisa nyie wauza unga kumuanzishia vita mteule wake baada ya kuwakurupusha mchana kweupe mkiuza unga....poleni na nendeni mlitumie Bunge limuondoe
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] na badoo Sindanoo haijawaingiaa vizuriii..[emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57]
 
Kuna watu ni kama Bata, ukimbeba lazima akunyee. Anayembeba madereva ana moyo.
 
sasa bashite si bora angemchukua huyo mtoto awe wake maana nasikia huu mwaka wa kumi kwenye ndoa lakini hana hata mtoto wa kusingiziwa

usiombe

unaweza hamisha hiyo laana kwa watoto wako

tubu mkuu, furahisha genge inaponza

shukuru unao, ombea yasiwapate watoto wako
 
Mikakati hiyo ya Daud Bashite.sasa amechokoza.ngoja niende kanisan nkapate ubuyu
 
Yani daud angekuwa na akili asinge endelea ubishi mpaka hapo ni dhahili anatafuta mlango wa kutokea haoni anagonga ukuta.kwanza amefanya sadaka kule kwa bishop ziwe nyingi pili kamshika simba pumbu,tutajua hadi siri za aibu juu yake
 
Soma upya maandiko ya Yeriko, usikurupuke. Aliyemtaja kufunika uso ni mwandishi anaemhoji binti, sio binti mwenyewe. Pitia post uliyomnukuu Yeriko hapo juu!
Mafisiem macho yao sio ya kuonea.
 
Kijijini nesi,mkunga na mtoa dawa ni mmoja tu.
Toeni hadharani vyeti vya makonda ili nae awa prove wrong kama mnavyojaribu kutetea uzinzi.
Mahita aliumbuka kwa mambo kama haya
Huyo dada amekuambia wameishi DSM kanisa likiwa Kawe, Kawe ni KIJIJINI? Ubashite ni mzigo.
 
Mimi hata wangesema video hiyo ni halali sijui kadi ya stationary,
Hebu kaka Bashite tumalize basi suala lako kwanza "lete vyeetiiii.!!!"
Hayo ya mtoto baadaye[emoji119]
 
kwa sisi ambao tunapelekaga watoto wetu clinic....hiyo kadi ni kizunguzungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…