Mwanamama kupitia Uhuru FM, adai kuzalishwa na Askofu Gwajima na kutelekezwa!

Sina uhakika kama huu uzi utaendelea kuwepo kwa muda mfupi ujao. Maana skuizi ukimtaja mwana wa mfalme, lazima viranja waufute uzi
 
Hapo ni chapa ya chapa!! Lakini hata cheti chenyewe hakina jina la Kiliniki wala namba ya mtoto. Kazoea kughushi sasa anaghushi hadi vitu asivyokuwa na utaalamu navyo!!


itakuwa anasubiria kwenda Kuala maakamani kuwa mtoto haendagi cliniki wana hana namba kama alivyofanya kwake
 
Mwisho wa ubaya aibu uyuu jamaa anayeitwa bashite hana akili kabisa mkuu kaamua kum'beba badala likae kimya linazidi kujichafu kweli zero ni zero tu kuna video nimeiona uko istar ni aibu tu hamna namna atolewe tu
 
Siku hizi bashite ni nurse wa kushughulikia wanawake wajawazito na watoto wachanga?? Hosp gan hiyo?? mbona haina jina la hosp?? Duh,hii kali sana.
 
Leo mkuu umeandika kwa hasira hadi umetisha.
 
Bashite anatia aibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…