Mwanamama kupitia Uhuru FM, adai kuzalishwa na Askofu Gwajima na kutelekezwa!

Mwanamama kupitia Uhuru FM, adai kuzalishwa na Askofu Gwajima na kutelekezwa!

Kwani mimba ni kosa la jinai? Jinai ni kugushi vyeti...

Vyeti vyeti jamani, tunavitaka vyeti..
 
Hivi kweli tufanye nn dhidi ya haya mambo?
Toka madawa mpaka leo mama na mtoto tena ya kutengenezwa na uhuru fm kweli jmn tutaaminije ya nyuma kama c yakutengeneza yote haya?

Ni mtanzania yupi utakaemwambia kuhusu hili swala akuamini? Kwan hakuna vyombo vinavyoshughulika na haya maswala wazazi mpaka leo uhuru fm?
Kuna wazazi wake na binti, kuna police na dawati la jinsia na watoto pale police.
 
Hahaha
Wanabadili upepo, nadhani uzuri kuna DNA testing na hua haidanganyi ila ntashangaa mapema govt itafanyia kazi hii ishu haraka haraka na kuacha ishu ya bashite
 
Hayo ya kawaida tu Mkomba kitu gani? Kwani kumpa mwanamke minna tena Jimama ni jinai hiyo?! Wacha kututoa kwenye "focus" ( kisemo cha Bashite) Daudi awasilishe Vyeti tu wacha longolongo
 
DNA NI LAKI TATU TU JAMAN DADA ANEDE USTAWI WA JAMII NI SIMPLE SANA
 
Yani imetengenezwa balaa.
Na ni mpango wa clouds kumsafisha Bashite.
Vyeti kwanza
Mawingu wanazingua sana, wanasahau bashite muda utafika ataondoka na atakuja mtu waliemuumiza nae alipe kisasi kwao. Poor mawingu
 
Nasubiria reaction ya Gwajima kesho akiongea na wanafamilia wake
 
MH KULENI ASUBUHI KESHO MUSHIBE.ASKOFU NDO MOTO WA CHRISTINA ITAWAKA.HUYU BINTI ATAJUTA.USHAURI KWA ASKOFU USIKUBALI GHARAMA ZA DNA.WAPAMBE WA HUYU BINTI WA GHARAMIE.ILA WEWE KUBALI.ITAKULA KWAO.MWISHO WAHUSIKA WA SAKATA HILI WASHTAKI KWA MUNGU.NAJUA ATAJIBU.BASHITE TUNATAKA VYETI.
 
Wameshindwa kuweka kwenye kipindi maana Gwajima angeshitaki kiredio chao
 
Kwani alibakwa? Si alisalaula mwenyewe mpaka ikatlkea mimba!!! Cha ajabu nini kwenye hili??? Weka vyeti Bashite ujanjaunjanja wa kipuuzi Kama huo haukusaidii weka vyetiiii!! Unaleta mambo ya Kolomoje hapa!!!!!
 
Back
Top Bottom