Mwanamama kupitia Uhuru FM, adai kuzalishwa na Askofu Gwajima na kutelekezwa!

Mwanamama kupitia Uhuru FM, adai kuzalishwa na Askofu Gwajima na kutelekezwa!

MH KULENI ASUBUHI KESHO MUSHIBE.ASKOFU NDO MOTO WA CHRISTINA ITAWAKA.HUYU BINTI ATAJUTA.USHAURI KWA ASKOFU USIKUBALI GHARAMA ZA DNA.WAPAMBE WA HUYU BINTI WA GHARAMIE.ILA WEWE KUBALI.ITAKULA KWAO.MWISHO WAHUSIKA WA SAKATA HILI WASHTAKI KWA MUNGU.NAJUA ATAJIBU.BASHITE TUNATAKA VYETI.
Ahaa! Sasa naanza kupata picha, kwa hiyo ni video ya kumpaka unaa Baba Askofu Mpendwa Wetu Mtumishi wa Bwana Josephat Gwajima?

Kusingiziwa mtoto sio kesi kwa mwanaume, kesi ni kuambiwa mtoto unayesema ni wako sio wako.

Baba Askofu akose uzazi kweli...masihara hayo.
 
MH KULENI ASUBUHI KESHO MUSHIBE.ASKOFU NDO MOTO WA CHRISTINA ITAWAKA.HUYU BINTI ATAJUTA.USHAURI KWA ASKOFU USIKUBALI GHARAMA ZA DNA.WAPAMBE WA HUYU BINTI WA GHARAMIE.ILA WEWE KUBALI.ITAKULA KWAO.MWISHO WAHUSIKA WA SAKATA HILI WASHTAKI KWA MUNGU.NAJUA ATAJIBU.BASHITE TUNATAKA VYETI.
Ahaa! Sasa naanza kupata picha, kwa hiyo ni video ya kumpaka unaa Baba Askofu Mpendwa Wetu Mtumishi wa Bwana Josephat Gwajima?

Kusingiziwa mtoto sio kesi kwa mwanaume, kesi ni kuambiwa mtoto unayesema ni wako sio wako.

Baba Askofu akose uzazi kweli...masihara hayo.
 
Daudi kawa kama kuku aliyekatwa kichwa!! Tumsaidie kijana mwenzetu kadri ya uwezo wetu!!
 
Hamna kitu hapa watafute kitu kingine chakumshika gwajima ila kwa hili si simple sana hata mimi naweza kuli handle
 
Kama mmepigwa mimba na Gwajima sisi haituhusu, tunachohitaji vyeti vya mkuu wetu wa mkoa
 
Waseme yooote sisi tunataka vyeti na usawa.
Hata wakituaminisha na hatimaye tukaamini kuwa Gwajima ndiye ibilisi na shetani yule mwovu anayenenwa na vitabu vitakatifu, bado haitafuta ukweli kuwa makondakta kapiga figisu katika elimu yake na utajiri wake.
 
Sasa Bashite umejimaliza kabisaaaa. Leta hapa JF vyeti vyako. Unavyozidi kuchelewa hata ikivipaka masizi vitaonekana vya kufoji. Utaalam huo ni wa siku nyiiingi.
Gwaji ni kiongozi mdogo saana. Kanisa lake halina watu unao waongoza weye. Lipo chini ya mamlaka yako ndo maana ukamuamuru aje ofisini kwako au kwenye ofisi uliyo na madaraka yako naye akaja akitetemeka kwani aliwahi kabisaaa.
Hatutaki kujisumbua naye, tunataka vyeti vyako ujisafishe tuuu baaasi. Acha maneno, lete vyeti
 
Hiyo video haiusiani na swala la vyeti. Swala la vyeti liko pale pale Daudi Bashite kwa hili hachomoki. This video is complete irrelevant.
 
Wengi ni watoto wa nje ya ndoa,na vyeti vya kuzaliwa wanavyo..
Bashite leta vyeti dogo acha janja janja yako
 
Sasa huo ndio UANAUME. Ukiona maishani mwako hujawahi kushitakiwa kwa masuala ya mimba basi usisumbue binti za watu kuwapa wazeekee kwako km masista wa Kanisa Katoliki
 
Nimemuangalia huyo mlalamikaji nimebaki nacheka tu.
Huyo demu alivyo komaa kama makanyagio ya bata ndio gwajima apoteze mbegu zake bure hapo.
Yani mademu wote wale wakali wakali anao waombea, aishie kumla mpiga deki sakafu na mpanga viti wake!?!?
Aisee
But hey mtoto ni baraka lakini kugushi vyeti ni jinai.
Kama kamla its all good lakini kwa muonekano huo kama chuma chakavu sidhani kama baba Askofu alisuuza rungu hapo.
 
Yule aliyedaiwa kuzaa na Mzee wa KIRARACHA aliishia wapi baada ya Mrema kugeuka CHUMVI YA MAWE? ?????
 
Huyu jamaa anataka kutumia kila njia kutaka kujisafisha kuhusu kashfa yake ya ufaulu DUNI ktk elimu yake ya msingi,kati na elimu ya juu.

Hivi leo lipo DHANIO kwamba hata ile clip inayosambaa ktk mitandao ya kijamii ni ama takwa lake au ni SHINIKIZO lake kwa WAPAMBE wake waisambaze ili tu kuwachafua WAFICHUZI wa kashfa kubwa imwandamayo ili eti kwalo iweze ama kupotezwa au kusahauliwa na namna anavyofikilia yeye.

Ktk hilo B.ASHITE na kuhakikishia huwezi kufanikiwa.Kashfa yako i dhahili na pengine ni ya kweli.Maana hujawahi kujitokeza kukanusha!

Bwana mdogo,suluhisho la kashfa yako ni wewe tu kujitokeza ukanushe na kwa ushahidi usiokuwa na shaka.Haya mambo ya kupandikiza watu wajitokeze eti kuwachafua wafichuzi wa kashfa zako,UNAJISUMBUA!Na pengine unatia mafuta ya petroli ktk moto.Ni HATARI!

Jitokeze ujibu kashfa na sivinginevyo bwana mdogo.
 
Kuzaa na mtu ndo uanaume wenyewe inamaana gwajima yuko fiti akitii agizo la kuijaza dunia. Ila huyu aliezungusha ziro anatia aibu mno
 
Makonda anahangaika sana mpk kaamua kumtafuta mmama ili alipize kisasi.ha ha haa
 
Back
Top Bottom