Mwanamama kupitia Uhuru FM, adai kuzalishwa na Askofu Gwajima na kutelekezwa!

Mwanamama kupitia Uhuru FM, adai kuzalishwa na Askofu Gwajima na kutelekezwa!

Mpango wa Bashite umebuma kama division bashite aliyopata form four!
 
Wewe nawe sijui ni Bashite, Mbona Yericko anasema anayemhoji ndo amefunika uso? Huwa mnasomaje Kiswahili nyie?
Mkuu achana na kumjibu huyo ni roboti yale yanayoingiaga kwenye mitandao kama watu.!
[HASHTAG]#Vyeti[/HASHTAG] kwanza - mengine baadae.!
 
Umepatwa na nini siku ya leo mrembo, maana naona kila baada ya dk kadhaa una post kuhusu Gwajima, as if ni kuku amebanwa ya yai mbuni anashindwa jinsi ya kulitaga.
screenshot_2017-03-19-00-10-39-png.483154
kasali tu mkuu, hii imesukwa na bashite
 
Mbona unaandika kama ww ndo gwajima ? Unamtetea mtu ambaye ameamua kufany ngono na muumin wake mwenyew?
 
Acha upuuzi
1. Mama yupo tayari kupima DNA. unsemaje?
2. Mtoto na gwajima ni copyright. Au wamefanana KWA bahati mbaya?

Shirikisha ubongo na sio unatumia kucha kufikiri
1.Kuhusu DNA. huko kuna kitengo kimeishaandaliwa kutoa majibu feki.
2.Kuhusu kufanana kuna watu kibao hufanana hata wewe ukitumia pesa ukatoa tenda watu watafute watoto wanaofanana na wewe utaletewa hata watoto mia kwa siku.
Na kwa jinsi hela ilivyokuwa ngumu huyo dada hata akipewa milioni moja tu ataigiza mpaka kulia machozi na viapo vyote ili apige hela.
Ningeweza ningeweka picha yangu na ya mtoto flani hivi jirani na nnapoishi wa miaka minne wa kiume ambaye kafanana sana na mimi mpaka watu hudhani mwanangu wakati hapa mkoani nimehamia mwaka jana tu.
## Vyeti kwanza- mengine baadae!
 
Kijijini nesi,mkunga na mtoa dawa ni mmoja tu.
Toeni hadharani vyeti vya makonda ili nae awa prove wrong kama mnavyojaribu kutetea uzinzi.
Mahita aliumbuka kwa mambo kama haya
Na anatumia Kalamu hiyo hiyo nyeusi kila siku au sio!!
 
Aisee gwajima ana raha watetezi wote hawa,yaan hata kama mtoto ni wake kiulainii nae atasingizia makonda kapanga mchezo.
Bashite wa pili huyu!!! Umeshindwa kuelewa hiyo analysis!?!?
 
Wana Bodi,

Hivi majuzi kiongozi wet mkuu akiwa anaongea na kituo cha TV cha Clouds aliwaambia watangazaji wa kipindi cha nyuzi 360 kuwa yeye ni mpenzi wa kipindi cha SHILAWADU kinachorushwa na stesheni hiyo.

Nilikuwa najiuliza mambo mengi behind mapenzi ya chief kwa Shilawadu na leo nimepata majibu. Nitaelezea kidogo

Leo imesambaa video ya mwanamke mmoja akihojiwa na Soudy Brown, kwa maelezo yake ni kuwa amezaa na "mzee wa Ubuyu" bishop Gwajima na kutelekezwa.

leo hii pia kuna taarifa video hiyo imesambaa baada ya hasa watu wa Clouds kugoma kuirusha jana alhamis kwa sababu walikuwa hawajampata Gwajima kupata the other side of the story. Video hii inahusishwa na Makonda mzee wa vyeti feki akiwa na nia ya kuitumia SHILAWADU kumchafua Gwajibu.

Nilichongámua, mkuu wetu alifanya promo ya kipindi hiki cha Shilawadu ili kuwaandaa watu kisaikolojia wawe wanafatilia maana ingeonekana hata mkuu wetu hufatilia pia. Huu ulikuwa ni mkakati wa kuwaandaa watanzania kumuona Gwajima akiiumbu matokeo yake WAMEUMBUKA wao... Abortive Makonda counterattack.... SHILAWADUUUUUUUU
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Yaani hata mtukufu abane hela vipi watu tutanenepa tu kwa kuwa kila siku tunacheka[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Huu utawala una raha yake na ndiyo siku zinasonga haraka.!!!
 
Nashauri gwajima amkamate huyo dada ampeleke mahakamani ili akahojiwe vizuri akishindwa tu, amtaje aliyemtuma!

Halafu tumalizie na issue ya vyeti
huyu mama akipelekwa mbele atatapika kila kitu
 
Back
Top Bottom