Mwanamama kupitia Uhuru FM, adai kuzalishwa na Askofu Gwajima na kutelekezwa!

Mwanamama kupitia Uhuru FM, adai kuzalishwa na Askofu Gwajima na kutelekezwa!

Sitaweka maneno mengi sana. Mwandiko wa Bashite umejulikana ndiyo mwandiko uliotumika kuandika majina ya wauza unga. Wataalamu wa mwandiko wabaini hilo. Angalia Picha katika kadi.
23f155d84622c92f87944506e610b5ca.jpg

Hii ndiyo kadi ya kliniki aliyobuni Daud Bashite kwa mtoto wa kusingiziwa kwa Gwajima
16fb9b46c9761748180f6ae4f9415f76.jpg
.
Huu ndiyo mwandiko halisi wa Daud Bashite.
Daud Bashite wafaaaa
Unapigana vita huku umejificha chini ya nyasi
Wafaaaa.
Umejuaje kuwa huu ni mwandiko wake?
 
Kuna msemo wa kizungu unasema " if you cant defeat them, Join them"
Serkali ya Awamu ya Tano imeshindwa kabisa hata kuelewa maana ya huu msemo na kufata principle zake.

Tunakumbuka awamu iliyopita iliweza kudhoofisha upizani kwa kuungana nao. Tuliona wabunge wa CCM na upinzani kuwa kama kitu kimoja. Lakini serkali ya leo inatumia nguvu nyingi kuwatenganisha huku ikisahau hii principle.

Kikwete hakuwa mjinga wala mdhaifu kuwaalika wapinzani ikulu na kupiga nao story.

Ukiwa kwenye nyumba ya vioo usijaribu mrushia mawe jirani yako. Utaumia. Hili ndilo linatokea kati ya RC Makonda na Gwajima.
Sasa gwajima anazidi kupata umaarufu wa ajabu. Mimi huwa siamini sana hawa maaskofu wa namna hii ila kwa hali inavyoendelea ni bora kumuamini gwajima kuliko serkal ya Magufuli.

Sasa kila Jmapili masikio ya watanzania huamia kwenye kanisa la Gwajima kutaka kusikia ametoa nini kipya hasa juu ya RC makonda.

Hata mimi apa ninaandika huu uzi huku nikivuta muda ili ifike saa nne nikajiunge kwenye ibada ya Gwajima mubashara kupitia channel yake ya youtube .

Kuhusu Lussu kupewa umaarufu na serkali ya magufuli hili lipo wazi kabisa na jana kupitia uchaguzi wa TLS tumepata prove.
Njama zote za kitoto na zisizokuwa na weledi zimeishia kumpa Lisu ishindi wa kishindo.

Sasa hivi Watanzania tumeanza kupata utamaduni wa kuhoji. Why this, why that, why him etc.

Sasa ni muda muafaka Serkal ibadili mbinu zake za kimafia maana Watanzania tutahoji kila ki2.
539a6a1d72dfcc67ccbd7567c4de4577.jpg
 
😀😀😀😀😀 balaa!

Kwa hiyo ndo unataka kutuambia keshazoea kufoji hawezi kuacha?
Hahahaa,kazoea

Ntafurahi sana kama Gwajima akiisemea tena hii kitu ya kuzuia kufoji na ya mwandiko
 
Aliyekuwa na vyeti feki vya Taaluma aibuka na Kadi Feki ya Kiliniki Kosa juu ya Kosa.

Ukitaka kujisafisha sio kwa urahisi hivo.

Kadi haina

Jina la Kiliniki
Namba ya mtoto
Jina la Nesi
Mahali anapoishi mtoto
Muhuri
Namba ya simu ya wazazi.
Nk.

Je adhabu yake ni nini kisheria kufoji mambo ya Afya?
 
Unapoamua kufanya vita ya propaganda you need to be very smart na sitegemei aliyefoji cheti to be that smart. Mwisho ni aibu iliyo kuu
 
da miandiko pacha kabisa hakuna ubishi ni aibu iliyoje
 
Bashiiiiteeeeeeee[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Kweli jamiiforum INA watu making du yaani ni kweli miandiko inafanana cheki hizo m
 
Kosa jingine la forgery hili,
siro yuko kimya.

Hii efidence kwa mahakamani imetulia kwelikweli,labda gwajima apotezee tu
 
Huyu jamaa ni kilaza kuliko tunavyomdhania, hapana shaka kabisa huo ni mwandiko wake cheki hizo M ndo zinamuumbua kabisa
 
Back
Top Bottom