Mwanamama kupitia Uhuru FM, adai kuzalishwa na Askofu Gwajima na kutelekezwa!

Mwanamama kupitia Uhuru FM, adai kuzalishwa na Askofu Gwajima na kutelekezwa!

Cc:-
Pascal Mayalla
Lizabon
Mudawote
Jingalao
Lumumba Buku Saba Fc
 
Kazi mnayo

Hivi kabisa huyo Kiongozi mnayemuita jambazi baada ya Vyeti then Magari now ujambazi


Na akili zake timamu afanye haya mliokaa na kutunga?

Ha ha haaaaaaa ajue kupewa rushwa akajikalia kimya wasimpate kuyajua, leo mmetokea wataalamu wa kila taaluma eti nyie ndio mnajua kukagua ha ha haaaaaaaa


Sasa hiyo karatasi hujui hata mbwa anaweza kaa as imezagaa mtandaoni akaandika kukopi mwandiko wake, sababu ndivyo imefanywa.

Ujinga mlionao ni hamko smart, nasema tena vitu mnavyomzushia Mh. Makonda hamko smart kabisaaaaaaa yaani mnatia aibu kuwa watanzania.

Ni kama hamjaenda shule hao wa ngada wanawabeba tu na mnafata mkumbo, mnasikitisha.


Ok kaa chini jifikirie why ufanywe mbululaz?

Eti leo mnamsingizia amefoji vyeti akapita madaraja yote, then today aje aandike kati ya clinic aache yale yamuhimu.....Haaaaaa kwani hamjui kufoji na kupita katika issue ni kutumia akili? So why nyie msio na div 0 ndio mnachemka hivi? Ha ha haaaaaa

Kesho njooni na chu*pi zake na mkewe wanaongwa, na ndala mpaka viatu hata kitanda.

Uongo wenu haujaenda shule kabisaaaaaaaaaa, ni vitukooooooooo.

Waheshimiwa

Makonda oyeeeee, JPM ongeza moto

Nyoosheni vituko vya nchi hiii kabisa

Hapa kazi tu
We ndiyo hujielewi hivi umeandika nini sasa? Na hapo unawahi posho umeshamaliza kazi? Safi sana wahi posho upate hela ya kula siyo tatizo lako waache wenye uelewa wa mambo waje na strong argument
 
Duh mnasikitisha sana na kufoji

Hata mnaemsingizia kweli ana akili zaidi yenu basi sababu aliweza kufika hadi chuo.

Ila nyie msiotumia akili ona hata herufi ukianzia E unaona majanga, yaani aliyetaka kuandika kumsingizia Makonda as hata Shilawadu hawajausika nacho ndio amekaa kafikiria weeeeeeee kumchafua Makonda akajaribu labda copy 20 ila bado hakuweza


Ha ha haaaaaaaaaaaaaa


Hamjui kuwa mtu kufoji ni kipaji? So etu alupata 0 ndio mkata kuwaonyesha hao mbulu wenu kuwa na hicho nao wanakubaki.


JPM njoo uanze kuchapa watu viboko wanatia aibu watanzania

Makonda oyeeeeeeeee


Ha ha haaaaaaaaaaaaaaaa

Uongo wa div 1 students ha ha ha haaaaaaaaaa
Hivi ukiandika unarudi kusoma? Unatuchosha kusoma vitu visivyoeleweka. Wewe unaonekana ni zaidi ya bashite
 
Sitaweka maneno mengi sana. Mwandiko wa Bashite umejulikana ndiyo mwandiko uliotumika kuandika majina ya wauza unga. Wataalamu wa mwandiko wabaini hilo. Angalia Picha katika kadi.
23f155d84622c92f87944506e610b5ca.jpg

Hii ndiyo kadi ya kliniki aliyobuni Daud Bashite kwa mtoto wa kusingiziwa kwa Gwajima
16fb9b46c9761748180f6ae4f9415f76.jpg
.
Huu ndiyo mwandiko halisi wa Daud Bashite.
Daud Bashite wafaaaa
Unapigana vita huku umejificha chini ya nyasi
Wafaaaa.
Hizo M sasa duh mule mule
 
Mimi nataka nimsikie Leo gwajima akiongea na familia yake. Clouds msipojitoa kwenye kashfa hii mwafaaa
 
Duh mnasikitisha sana na kufoji

Hata mnaemsingizia kweli ana akili zaidi yenu basi sababu aliweza kufika hadi chuo.

Ila nyie msiotumia akili ona hata herufi ukianzia E unaona majanga, yaani aliyetaka kuandika kumsingizia Makonda as hata Shilawadu hawajausika nacho ndio amekaa kafikiria weeeeeeee kumchafua Makonda akajaribu labda copy 20 ila bado hakuweza


Ha ha haaaaaaaaaaaaaa


Hamjui kuwa mtu kufoji ni kipaji? So etu alupata 0 ndio mkata kuwaonyesha hao mbulu wenu kuwa na hicho nao wanakubaki.


JPM njoo uanze kuchapa watu viboko wanatia aibu watanzania

Makonda oyeeeeeeeee


Ha ha haaaaaaaaaaaaaaaa

Uongo wa div 1 students ha ha ha haaaaaaaaaa
Kazi unayo asee ila ninawasiwasi utadumaa kiakili soon maana mambo mengine yapo wazi labisa bora kwa mengine ukae kimya lau kumpisha mwana haramu
 
Ifike mahali wanao mtetea Bashite waone aibu
Wataonaje aibu wakati kitu cha homeboy? Wacha waendelee kutupeleka wanavyotaka kwa kua Watanzania ni waoga na tuko tayari hata kudhalilishwa. Umeona kule Kenya madaktari wa Kenya wanavyowadharau waTanzania? Wamewafananisha na viganga vya kienyeji.
 
Mpaka sasa nimesha jihakikishia kuwa yule Mama alitumika kumchafua Askofu Gwajima. Sasa watu kama hawa wasiachwe hivi hivi. Huyu atumike kama fundisho kwa wengine wenye Tabia za kutumika na kuchafua watu wenye heshima zao.

Gwajima peleka huyu Mama mahkamani. Wewe ni mtu mkubwa sana. Mpige hata fine ya kama 1bn aliyemtuma atamlipia tu. Akishindwa mweke ndani hata miaka 12.

Hawezi dhalilisha kanisa hivi tumuache bure. Yani hapa kacheza na imani za watu.

Mwanamke yule hana hata aibu. Et tulifanya mapenzi Madhabauni. Yani hta Madhabau hyajui.
 
Back
Top Bottom