Mwanamfalme wa Uingereza Harry kufunga ndoa na muigizaji wa Marekani Meghan Markle

Naona Harry anaweka History nyingine ya kuoa commoner lakini Meghan ni to the core.
Manake ni Mmarekani, divorcee halafu ana damu nyeusi.
Royal family wamepatikana haswaa! [emoji3]
Wamepatikana haswa! Wameanza kusema " brown girl in the house "
 

Kwa kweli sidhani kama aliwahi hata kufikiria kuwa atakuja kuolewa na Prince, tena baada ya kuachika!
Tehe!, kujifanya mpole mbona muhimu sasa..
Sidhani kama ataweza kujiachia tena kihivyo akiingia kwenye familia, maana mpaka kucheka si inabidi wacheke kwa pose eti hata kama umebanwa kicheko jamani...lol!

Kuwa royal hakuna mfano wake lakini kuna raha na tabu zake, maana naona hata rangi za kucha inabidi ziwe neutral na sio marangi rangi, mbona shughuli..
 

Inasikitisha!, halafu wala haja enjoy hiyo ndoa yenyewe pamoja na kuolewa mdogo hivyo.
 
mi nakwambia hii familia!hiii!
TUIONAGE TU NA KOFIA ZAO PANA KAMA MATURUBAI YA PARKING LAKIIIIIIIIINI!
ehehehehhe

Hahaha, eti kama maturubai...lol!
Kwenye sherehe zao napendaga kuangalia hizo kofia zao tu, maana unakutana na kila design..



Aristochratic life is Bomb, lakini inapokuja kwenye restrictions za kuambiwa kuna vitu hawawezi fanya au ku behave in a certain way? hapo tu..
 
Mi napenda kucheka cheka lakini Meghan kazidi asee[emoji23] [emoji23] [emoji23] ...si kwa vicheko vile!

Hebu wampe hizo royal restrictions apunguze uhuni wa kimarekani!
 
Mi napenda kucheka cheka lakini Meghan kazidi asee[emoji23] [emoji23] [emoji23] ...si kwa vicheko vile!

Hebu wampe hizo royal restrictions apunguze uhuni wa kimarekani!
[emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8]
 
Inasikitisha!, halafu wala haja enjoy hiyo ndoa yenyewe pamoja na kuolewa mdogo hivyo.
Sio tuu utotoni shost!

Yaan Charles kamtia mwenzie gundu la kimapenzi maisha yake yote! hebu nambie toka Diana kawa divorced, ni mwanaume gani katulia nae? ukiondoa wale wa kisiri wa kuwekwa kwenye buti, Buckingham staffs, hamna cha maana alichokipata labda watoto na status! Lkn kimapenzi nah nah!

Huyo Dodi mwenyewe mla unga, kila siku kuwavalisha female Hollywood celebs mipete fake ya uchumba, na kuoa haoi yaaan.....


Yule mhindi surgeon ( hasnat khan) alikimbia gharama za Diana + kufatwa fatwa na paparazzi, akala kona!

Wanaume wengine matajiri wakawa wanaogopa kutembea nae maana wanajua mziki wa British Intelligence agencies!

Top of that Di alisetiwa mitambo( monitoring) bila kujijua, anachoongea, anachofanya kimeshatua security services! Maisha gani sasa hayo!

Bora hata alivyopumzika asee, asingebaki salama!
 
Kuna jamaa mwalimu wa farasi wa late diana alidhaniwa kuwa mzazi wa huyu bwana harusi
ila jamaa wa farasi alikataa akasema alidate na diana baada ya dogo kuzaliwa;
nahisi walipima hata vinasaba;

Ni James Hewitt huyo!....ila kiukweli huyo ndo baba mzazi wa Harry...sema Hewitt anaogopa kusema ukweli ili asife!
 

Sio mara ya Kwanza kwa Royal Family ya Waingereza kuwakubali watu weusi kwenye vizazi vyao vya Kifalme
Unamfahamu Queen Charlotte, Mke wa King George III?
 


What, kulikuwa mpaka na muhindi??!!!

Jamani!, hizi issue zote zinaonyesha she was soo desperate to find love. And I think ni out of frustrations alizokuwa anazipata kutoka the Queen and company.
Poor, rich girl!..
Kama angeendelea kuishi sijui angeishiaje, si unajua hawa weupe walivyo soft and not that strong to handle too much stress..
 
Mi napenda kucheka cheka lakini Meghan kazidi asee[emoji23] [emoji23] [emoji23] ...si kwa vicheko vile!

Hebu wampe hizo royal restrictions apunguze uhuni wa kimarekani!


Hahaha!, bora umesema wewe.
Hili la uhuni wa Kimarekani nililifikiria pia. Wamarekani wanavyopenda kujiachia, tofauti na Waingereza walivyo tight.
They'll be watching her every move.
 
So, my Rachel ndani ya Suits ndo sitamuona tena!

Anyway, huyu mdada mrembo bhana na kwahiyo she deserves kupata royal life.
 
Mi napenda kucheka cheka lakini Meghan kazidi asee ...si kwa vicheko vile!

Hebu wampe hizo royal restrictions apunguze uhuni wa kimarekani!
HAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAPO KWENYE UMAREKANI kuubadili kuufanya uwe okey kwenye medieval
AH WE UNAIJUA HII FAMILIA!
NAINJOIIII!
 
Di alikuwa used sana na hii familia!
tu ili mfalme aoe bikra!
haijalishi ataishi nae vipi limfalme lenyewe bayaaaaaa !(MI BADO NAAMINAGA MAPRINCE WANAKUWAGA THE MOST HANDSOME )
ahahahahhhaha hadithi za Cinderella zishaniharibu!
SAS ALI PRINCE LENYEWE BAYA!
PILI HALINA MAPENZI!
TATU LINA LIMCHEPUKO LAKE HUKO NALO BAYA KAMA MAKUMBI LA NAZI!
LIMEKOMAAA!NALO LINAMPANGIA MPAK SIKU YA KUTUNGA MIMBA ZA WANAE!
BADO KUNA JAMIII INAYOKUTIZAMA KILA SIKU
uuuuwih na walimkuta lakini!
MPK MUDA ANAAMUA KUPINGA HAYO MAISHA NI KAMA WAS WAY TOO LATE!
wakaishia tu kumuua!
BORA ANGEZANZAGA KULA ZAKE BATA MUDA MREFU!
 
Catherine ana kizazi chepesi! Si kwa kufululiza huku!

Au anataka amalizane na biashara ya uzazi ale bata kabla hajazeeka?
fasta kuliko maelezo!
SASA ANA KAZI GANI NYINGINE KIMFANO!
hata mi ningezaa kama bata bukini!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…