Mwanamfalme wa Uingereza Harry kufunga ndoa na muigizaji wa Marekani Meghan Markle

Mwanamfalme wa Uingereza Harry kufunga ndoa na muigizaji wa Marekani Meghan Markle

Sometimes life can flip in a matter of second. One morning you woke up broke the next day you woke up in a 1.6 milion dollar car....Bugatti!

One day mama yake na Megan she was nothing...just yoga instructor get paid minimum wage in US...na alipokuwa anaondoka US kwenda Britain...alipanda Uber kuelekea airport na alikuwa amekula bugaluu lake la bei chee na karaba kake kakuchumpa but soon as she landed in Britain alipokelewa na Royal ceremonial military na akapewa royal VIP treatment pale Heathrow airport... Na akapakiwa kwenye ndinga Kali uelekeo kwenye palace. Huku Luis Vuitton wakipewa order ya kumtafutia nguo yake kali ya kwenye shughuli haraka.

Absolutely Unbelievable!!View attachment 780763View attachment 780764
Daah!!!
 
Sasa mtu hata ufalme wenyewe haji shika
Kwenye line ni wa 6 sjui, ina maana gani hata kuwa princess [emoji1].
Ile harusi kama si wa USA wangekuwa wanaipa promo ni ya kawaida tuu
But he is from Royal Family
 
Kama unafikiri wewe unapenda sifa, attention, cameras... tafakari mara mbili...David Beckham na Posh wanapenda sifa sana when it comes to fashion and stealing the show.

Hapa mapema Leo ndio wanafika maeneo ya Windsor shughuli itakapofanyika lakini bling walizotandika wanawafanya bwana na bibi harusi waonekane kama vile wasindikizaji tu.

Cool down the pace The Beckhams, you Rocking too fast.View attachment 780946
I love this couple Victoria anajitambua sanaaa kwa namna Beckham alivyokuwaga na kashfa zile mwingine angeachika mda sanaa!
 
Queen Elizabeth II amekuwa malkia kwasababu hakuzaliwa na kaka. Kama Princess Margaret angekuwa wakiume Elizabeth angerukwa. Sheria ilibadilika 2013 siku hizi the first born whether is a girl or a boy becomes a hare to the throne
Naona uko vizuri kipande hii
 
Back
Top Bottom