Mwanamfalme wa Uingereza Harry kufunga ndoa na muigizaji wa Marekani Meghan Markle

Oprah kazidi kuwa mbibi hajapendeza hataa!

Serena Williams kapendeza ila yeboyebo zake zimeshaanza kufumuka!

Clooney katoka chicha na baby wake!

Idriss katoka bomba ila bidada kamuangusha na huo mgauni!

Beckham and his wife look mwaaa!
Hahah!, kha Serena nae hakutaka hata kuzi refresh yeboyebo..[emoji1]

Beckhams, sana tu. They never disappoint.
 
Duuuh wazungu wana raha haya machombo ya kwaya na kusindikizia nyimbo kwetu hamna bali maspika makuubwa likishtuliwa ghafla moyo unaruka sarakasi za ajabu [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Gharama ya kuolewa na watu wenye power
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…