Mwanamfalme wa Uingereza Harry kufunga ndoa na muigizaji wa Marekani Meghan Markle

Harry anapenda bata mnoo, na kupiga chini mademu kama hana akili nzuri vile! Kweli Meghan ana zali la mentali

Ila mkuu kama namuona Meghan haamini kilichotokea ( to be engaged) yaan full kujistukia halafu ni anaonekana anamuogopa mnoo Harry!
 
Haha aseeh! [emoji3]

Prince Harry anaonekana ana U bad boy fulani hivi.
Nakumbuka alivyosimamia harusi ya kaka yake, ukiachana na vazi lake maalum lakini nywele zilionekana kama vile hazikuwa hata shampooed.
huyu kibaka atakuwa malkia alichepuka na wasira au raila si kwa ukora huo
Mkuu hata billgates picha yake akiwa na mkewe ilivyoonekana watu wakasema inakuwaje wewe baba na hela zako zote unaoa mwanamke mmoja tu na mbaya zaidi hana hata chura.. sijui wafanye nini wabongo mridhike
 
Most likely! Mama yake alivyokuwa mrembo na smart huyu anatia aibu. Katika wanawake wote wa Kiingereza amekosa kabisa mke hadi aende Marekani tena demu kamzidi umri? Huyu kweli ngada inamhusu.
Ndege hutua katika mti aupendao.
 
Hata hivyo kufikia hatua hiyo wana saikolojia wamejitahidi.

Huyu kaka ana athari za kutomjuwa baba halisi. Naona mama mwenzetu alichepuka mazima

By the way, nawatakia maisha mema.
 
Hata hivyo kufikia hatua hiyo wana saikolojia wamejitahidi.

Huyu kaka ana athari za kutomjuwa baba halisi. Naona mama mwenzetu alichepuka mazima

By the way, nawatakia maisha mema.
Hamna hyo Maisha anayoishi, ndio wajeda wengi huishi, na kama yy nae ujeda wake ummpeleka huko hio sio shida. Mi nimeipenda hii kitu mnoo, Mdada mweusi kuolewa na mtoto Wa kifalme. Full starehe, itafika sehem hii ngozi itaheshimika tu.
 
Cdm igeni na nyie. Kachukueni mademu wa pornpub
 
Hata hivyo kufikia hatua hiyo wana saikolojia wamejitahidi.

Huyu kaka ana athari za kutomjuwa baba halisi. Naona mama mwenzetu alichepuka mazima

By the way, nawatakia maisha mema.
Kitendo cha kufiwa na mama mapema kilimchanganya sana na hii ilipelekea kuanza ulevi akiwa kwenye earl teen age. Ni kweli alipata msaada wa psychologist kwa tatizo hilo.
 
Sio wazungu tu; hata mimi wa Mchambawima sijaipenda kabisa ndio maana nikauliza amekosa kabisa demu "bora" wa Kiingereza hadi akaokote masanii ya kimarekani tena machotara?
hizi tabia ni za waarabukoko, wakijifanya wao ni asili toka Oman, hawachananyi damu mwanamume kuoa black au kuchanganya Dini. Historia ya Babu yao mfalme Henry aliasi kwa kuoa kipenzi chake na akakubali atauachia ufalme na kuanzisha Dini ya Anglican stori za kibaguzi ni ndefu na zinawabwaga wengi tu
 
Hapo umejichanganya. Dhehebu la Anglican lilianzishwa muda mrefu kabla ya huyo "alieyeoa kipenzi chake" aka Edward VIII (Elder brother to King George the grand grand father to Prince Harry) hajazaliwa. Natumaini ulikuwa unajitahidi kuongelea yaliyo kwenye hiyo hati.

 
katika wanawanake wenye Bahati ,,,Huyu nimiongon.

Aliwahi olewa mwaka 2011 akaachana na Tajir wake ..
Mwaka 2018 anakua Duchess !!! Hahahahaha .
Duh! Usiniambie; that's even worse! Wafalme na ma-Prince wanaoa bikra huyu kaamua kwenda kuzoa li-mtalaka la kimarekani kabisa! Ha ha ha!
 
Harry Butler...huyu Diana alichepuka na jamaa
Charles hapa hana hata jicho....
 
Duh! Usiniambie; that's even worse! Wafalme na ma-Prince wanaoa bikra huyu kaamua kwenda kuzoa li-mtalaka la kimarekani kabisa! Ha ha ha!
Hahahahaha acha kabisaaaa mkuuu kuna wanawake Wa Bahati.balaaaa.

Alitalakana na Tajiri ...Saizi anaenda kua malikia hahahahaha
 

Sad!, they mis treated her when she was alive, sasa mpaka kifo?
Halafu ingawa alitoka kwenye royal family pia but she was so different from them kitabia.
Na kutoka na Dodi Fayed I think she was just looking for love, ambayo hakuipata from the royal family.

...Kweli Meghan ana zali la mentali

Ila mkuu kama namuona Meghan haamini kilichotokea ( to be engaged) yaan full kujistukia!


She sure met her Prince.
Hii imenikumbusha zile Fairy Tale stories, which has come to life. [emoji3]
 
Hahahahaha acha kabisaaaa mkuuu kuna wanawake Wa Bahati.balaaaa.

Alitalakana na Tajiri ...Saizi anaenda kua malikia hahahahaha
Aende kwa King Mswati akapate darsa namna na aina ya vitu wafalme wanavyooa na sio kwenda kujizolea hovyo huko beach simply mwanamke "amekukalia vibaya" ukadhani umepata mke. Hamna ndoa hapo; nategemea talaka muda sio mrefu ujao -tuombe uzima.
 
Diana she was really ,unique and different !!!.

Basi tu ndomaana walimwondosha.
 
Si mlaumu amefuata kitu roho unapenda. Hata familia yake wamekaa kimya. Wameona kilichotokea kwenye ndoa ya Charles na Diana
Haya mambo ya "kitu roho inapenda" yanatumika vibaya. Given his position as a member of the Royal Family ni lazima vitu vingine ujidhibiti mwenyewe. Aombe darasa kwa King Mswati akafundwe aina ya vitu wafalme wanapaswa kuoa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…