Mwanamfalme wa Uingereza Harry kufunga ndoa na muigizaji wa Marekani Meghan Markle

Mwanamfalme wa Uingereza Harry kufunga ndoa na muigizaji wa Marekani Meghan Markle

"Hili tabasamu ni pale unapotambua umekuwa official mke and there is nothing he can do about it."

Apparently, huyu demu kweli wa uptown wala hakuwa na aibu wala kuficha macho wala kuwa shy...kanatabasamu tu whenever.. Wherever! Na kanaikazia macho ile halaiki confidently kabisa.

Mungu akasaidie ndo yake idumu.
tapatalk_1526733549316.jpeg
 
"Hili tabasamu ni pale unapotambua umekuwa official mke and there is nothing he can do about it."

Apparently, huyu demu kweli wa uptown wala hakuwa na aibu wala kuficha macho wala kuwa shy...kanatabasamu tu whenever.. Wherever! Na kanaikazia macho ile halaiki confidently.

Mungu akasaidie ndo yake idumu.View attachment 781281
Wasikaue tu
 
Her Majesty ni mnafiki wala hajafurahi kuona mjukuu Harry anamuoa huyo black afuu commoner basi tuu afanyeje kaishajizeekea na ana skendo ya kumuua Diana....huyo Meghan kama mbele mbele hajapewa sumu sijui!
na waza hivi hivi...ngoja m15 m16 waingizwe kazini "" wenyew mtafurahi
 
Kwani ilikuaje Diana akamuacha Charles nini kilitokea,au michepuko kina camila
Huyo Charles alikuwa na Camilla na mademu wengine kabla ya Diana!

Ukoo wa kifalme wakamleta Di akiwa bikra kana miaka 19 kakaolewa na huyo Charles, so obvious baada ya kumvunja bikra na kutosheka na papuchi, akaendelea kukulana na Camilla, so Camilla akawa anapambana ili aolewe na Charles, so drama mpaka Di akajua kuwa hapendwi!

Akaomba talaka akasepa, ndo akaanza kutembea na huyo mwarabu tajiri Dodi, ikabidi wammalize!
 
Nadhan malez aliyopewa aliona kabisa hana cha kupoteza hasa vile chance ya kuwa mfalme ni mdogo kijana akaona ya nini kujibania bania wakati maisha ya raha yapo
huyo "" hajatulia toka enzi za ukuaji wake mkuj"" kamsumbua mnoo bimkubwa wake "" jitu la kupenda bata na Watoto Wazuri .drama mwanzo mwisho "" hajatulia hata kidogo""
 
Harry karithi kwa baba ake kabisaaa
Huyo Charles alikuwa na Camilla na mademu wengine kabla ya Diana!

Ukoo wa kifalme wakamleta Di akiwa bikra kana miaka 19 kakaolewa na huyo Charles, so obvious baada ya kumvunja bikra na kutosheka na papuchi, akaendelea kukulana na Camilla, so Camilla akawa anapambana ili aolewe na Charles, so drama mpaka Di akajua kuwa hapendwi!

Akaomba talaka akasepa, ndo akaanza kutembea na huyo mwarabu tajiri Dodi, ikabidi wammalize!
 
Uwii Witness jamani dada wa watu yasijemkuta yaliyomkuta Diana..

I couldn't wait kusikia reaction ya Queen kwa hili la kuingiza damu nyeusi kwao, lakini kaonekana ku support tena kwa kurusha dongo kwenye media?!
intelligence people " huwa hawaonyeshi chuki zao hadharani mkuu"" wanaweza hata kuku kumbatia na kuchangia na wewe Chakula "" kumbe wanapanga kukutoa roho
 
Nadhan malez aliyopewa aliona kabisa hana cha kupoteza hasa vile chance ya kuwa mfalme ni mdogo kijana akaona ya nini kujibania bania wakati maisha ya raha yapo
kwakweli "" hata mimi ningekuwa ndiye yeye ningefanya hivyo" nilikuwaga na vutiwa mnoo na life style yake " jinsi anavyo jichanganya na Jamii kama star wa Hollywood
 
Back
Top Bottom