MVB Jr
JF-Expert Member
- Sep 16, 2016
- 489
- 1,553
You got me bro 👌wabongo tunapewa title tu, story tunamalizia wenyewe brother 😁😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
You got me bro 👌wabongo tunapewa title tu, story tunamalizia wenyewe brother 😁😁
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23]mtuacheee wabongo!!wabongo tunapewa title tu, story tunamalizia wenyewe brother [emoji16][emoji16]
2007 nafikiri na Maria SarungiUna kumbuka ni mwaka gani ameanza ametoka shinyanya na kuanza mambo ya models maana naona watu wansmwita binti wakati ka umri kametia nanga tangu nianze kumsikia sio leo
Wanaume tunapukutika siku hizi, tunakoelekea tutakuwa lulu aisee.. humo humo kuna mapunga, bado mahanithi, bado wakosefu wa nguvu za kiume, bdo sijui nini, ni hatari na unusu arifu.Mmmh mbona hauzungumzii labda alimkuta mumewe anatafunwa on bed[emoji848][emoji848]
Mambo ya ugasho yametamalaki kwa wanaume
Asante mwenyekiti[emoji122][emoji122][emoji122]Ushaanza habari zako za kisnge kutangaza ushg [emoji57][emoji57][emoji57][emoji57] unaboa sio sifa
Issue ya ukosefu wa nguvu za kiume ni stress tu si kwamba kweli tatizo hilo lipo kwa wanaume, wanawake wenyewe wanalichangia sana.Wanaume tunapukutika siku hizi, tunakoelekea tutakuwa lulu aisee.. humo humo kuna mapunga, bado mahanithi, bado wakosefu wa nguvu za kiume, bdo sijui nini, ni hatari na unusu arifu.
Bongo yenyewe tunaishi kwa kudra za Mungu tu.😂😂😂 Mtoto ana kucha za kukuondolea stress....
Huyo ili muende sawa ujitoe ufahamu na pesa iwepo.
nimewaacha 😂😂😂[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23]mtuacheee wabongo!!
Mkuu ni noma asee!Wanaume tunapukutika siku hizi, tunakoelekea tutakuwa lulu aisee.. humo humo kuna mapunga, bado mahanithi, bado wakosefu wa nguvu za kiume, bdo sijui nini, ni hatari na unusu arifu.
Ndoa sio kwa kila mtu! Na sifikirii ni kosa mtu kutokua kwenye ndoa. Kosa kubwa zaidi ni kuingia kwenye ndoa kwa kufurahisha watu, na kuwaaminisha kila kitu kipo sawa wakati ndani unaumia.
Oa au olewa na mtu mnaeshabihiana interest....Ndoa nyingi siku hizi zimekua hazidumu
Nina mtu wangu wa karibu alioa ndoa yake ilidumu wiki2 na nusu tuu, tena wanandoa walifahamiana kwa miaka6 na walikua marafiki wazuri tuu.
Flaviana analo lililomkuta jamani, hapa analaumiwa sababu tuu ya umaarufu wake.
Shida wenzetu hata akiwa na tatizo, ye anasubiri mjiti tu, changamoto sisi, kaa abdala kichwa wazi hajasimama dede kazi haifanyiki, huwezi iumbukiz mule hali imelala, hivyo inakula kwetu zaidi.Issue ya ukosefu wa nguvu za kiume ni stress tu si kwamba kweli tatizo hilo lipo kwa wanaume, wanawake wenyewe wanalichangia sana.
Wanawake pia wana tatizo la nguvu za kike lakini tatizo anaweza kusukumiwa mwanaume kwa sababu ya uelewa mdogo wa mambo.
Oa au olewa na mtu mnaeshabihiana interest....
mfano mimi ni mwalimu nije nioe mwanamitindo!!???
kuna ndoa hapo!
Ila hii ni kweli kabisa...mkitofautiana interest uhusiano unakufa!Oa au olewa na mtu mnaeshabihiana interest....
mfano mimi ni mwalimu nije nioe mwanamitindo!!???
kuna ndoa hapo!
Tulindwe na walimbwende kama marehemu gadafi dadeki.Mkuu ni noma asee!
Inabidi tuwalinde sana kama lulu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tulindwe na walimbwende kama marehemu gadafi dadeki.
Huyu Binti ana mtoto?
Kuna wa siku 5 ndoa chalii. Dunia ina mambo hii.
Kuna huu uzi wa 2010Hebu tuambie kidogo kuhusu huyu Russel Simoons mkuu ?