BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,591
- 8,826
Mwanamke aliyetambulika kwa jina Bella Montoya (76) kutoka Ecuador amewaacha watu kwenye mshangao baada ya kukutwa akihangaika kuvuta pumzi kwenye Jeneza wakati ndugu walipotaka kumvalisha mavazi maalumu ya mazishi.
Kwa mujibu taarifa ya Wizara ya Afya, mwanamke huyo alipata tatizo la Mshtuko wa Moyo uliotokana na kushindwa kupuma vizuri, na hata alipofanyiwa huduma ya kushtuliwa mapigo ya Moyo hakuweza kuamka na hivyo kutangazwa kuwa amefariki.
Baada ya kufanikiwa kuamka alirudishwa Hospitali na kuwekwa Chumba cha Uangalizi Maalumu (ICU) huku timu ya Madaktari ikifanya uchunguzi zaidi kubaini kilichotokea.
================
Mourners at the funeral of an elderly Ecuadorean woman were startled to discover she was still alive. Bella Montoya, 76, was declared dead last week following a suspected stroke. Five hours into her wake on Friday, relatives preparing to change her clothes ahead of the burial found her gasping for air.
Ms Montoya is now back in hospital in intensive care, and Ecuador's health ministry has set up a committee to investigate the incident. In a statement, the ministry said that the woman went into cardiorespiratory arrest - a loss of breathing and heart function - and did not respond to resuscitation attempts.
The doctor on duty confirmed her death. Her son, Gilber Rodolfo Balberán Montoya, was quoted by local media as saying that his mother had been "admitted around 09:00, and at noon a doctor told me [she] died".
Ms Montoya was then placed in a coffin for several hours until she was seen by family members trying to breathe. A video posted on social media showed her lying in an open casket and breathing heavily while several people crowded around her.
Paramedics are then seen arriving and observing Ms Montoya before moving her on to a stretcher and into an ambulance. Now she is in intensive care in the same hospital where doctors declared her death.
AFP news agency quoted Mr Balberán as saying: "Little by little, I am grasping what has happened. Now I only pray for my mother's health to improve. I want her alive and by my side."
AFP