Mwanamke adai kupigwa ngumi na mchungaji wakati wa maombi

Mwanamke adai kupigwa ngumi na mchungaji wakati wa maombi

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2009
Posts
42,872
Reaction score
34,363
Mwanamke mmoja ameshindwa kuzuia hasira zake baada ya kudai kupigwa ngumi ya usoni na mchungaji wakati akimuombea.

Katika video iliyopostiwa kwenye Mtandao wa TikTok, mwanamke huyo anaonekana akiongea kwa hasira kwamba mchungaji alikuwa akimuombea na kumpiga ngumi kwa uchungu usoni kama njia ya kumsukuma kuanguka chini ili kudhihirisha kwamba ameingiwa na Roho Mtakatifu. chanzo. Global Publishers.

APIGWA NGUMI NA MCHUNGAJI.jpg
 
Kama viongozi wa dini hawamuogopi Mungu, na wanachezea jina lake kwa maslahi yao, ingawa wanadai wana ushuhuda wa miujiza yake, waumini wafanyaje?
Siwalaumu watu wasiyo na imani na dini kabisa.
Haya ndiyo mambo yanayofsnya wstu wskstishwe tamaa kumtafuta Mungu maana wansona ni kama everiwea watakapokwenda itakuwa ni maigizo tu
 
Mwanamke mmoja ameshindwa kuzuia hasira zake baada ya kudai kupigwa ngumi ya usoni na mchungaji wakati akimuombea.

Katika video iliyopostiwa kwenye Mtandao wa TikTok, mwanamke huyo anaonekana akiongea kwa hasira kwamba mchungaji alikuwa akimuombea na kumpiga ngumi kwa uchungu usoni kama njia ya kumsukuma kuanguka chini ili kudhihirisha kwamba ameingiwa na Roho Mtakatifu. chanzo. Global Publishers.

View attachment 2355194
Sasa yeye alichelewa nini kuanguka bana?
 
Back
Top Bottom