Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikuacha salama baada ya kuanguka chini?Ilishawahi nitokea, ngumi ya mgongo tena kwa kushtukiza...utaenda chini bila kupenda
Karama ziendane na maandikoKarama mkuu
Nilinyanyuka akarudia tena uli nirudi chini. Sifanyi tena huo ujinga wa kwenda sehemu kama hizo😅Alikuacha salama baada ya kuanguka chini?
Ingekuwa hivyo zilipoanziwa ulaya na uarabuni wangekuwa masikini wa kutupwaUjinga wa waafrika,
Mnaacha kufanya kazi mnaenda kusomewa biblia na mjanja mmoja na pesa mnachunishwa, upuzi kabisa.
Dini ni silaha kubwa ya umaskini.
Naumia sana matukin haya kiuni.Mwanamke mmoja ameshindwa kuzuia hasira zake baada ya kudai kupigwa ngumi ya usoni na mchungaji wakati akimuombea.
Katika video iliyopostiwa kwenye Mtandao wa TikTok, mwanamke huyo anaonekana akiongea kwa hasira kwamba mchungaji alikuwa akimuombea na kumpiga ngumi kwa uchungu usoni kama njia ya kumsukuma kuanguka chini ili kudhihirisha kwamba ameingiwa na Roho Mtakatifu. chanzo. Global Publishers.
View attachment 2355194
Kweli usiende wanaweza ku take advantage ukiwa chini wamalize kabisaNilinyanyuka akarudia tena uli nirudi chini. Sifanyi tena huo ujinga wa kwenda sehemu kama hizo😅
Tuna mambo mengiPoleni sana, wanawake mnapitia mengi kwenye hayo makanisa ya kilokole.
AsantePole sana mkuu
AAHAHAHAHAH ndo mkomege!! mnatuacha sisi hapa!! ohooo!! naenda kwa gwajima unoana sasa???!! ukipinda kiuno tu watakwambia jinni hilo limetokea kiunoni!Asante
Kiukweli mimi sijawahi kwenda kwa ridhaa yangu mara zote inakuwa kama nimelazimishwa nafanya kumridhisha mtu. Ila now slendi hata iweje maana hata hao watumishi sijawahi kuwaaminiAAHAHAHAHAH ndo mkomege!! mnatuacha sisi hapa!! ohooo!! naenda kwa gwajima unoana sasa???!! ukipinda kiuno tu watakwambia jinni hilo limetokea kiunoni!
Huyo ni mtumishi kivipi na anakata watu mingumi kama Mandonga? Huyo ni mtu mishe!Hapana mimi sio mlokole kabisa lakini nimezungukwa na walokole wengi , siku nikajikuta huko kwa mtumishi
Kuwepo matapeli sio excuse kabisa. Biblia imeweka wazi siku zetu hizi manabii wa uongo watakuwa wengi na watadanganya wengi. Tena ikasema kwa matunda yao tutawatambua.Kama viongozi wa dini hawamuogopi Mungu, na wanachezea jina lake kwa maslahi yao, ingawa wanadai wana ushuhuda wa miujiza yake, waumini wafanyaje?
Siwalaumu watu wasiyo na imani na dini kabisa.
Kuna mmoja akanishika kichwa ananiombea basi anafoka mate yanaruka kama mvua, ile mvua kweli si ya kitoto. Ilibidi nijiangushe chini ili kuepuka hiyo kero.Huyo ni mtumishi kivipi na anakata watu mingumi kama Mandonga? Huyo ni mtu mishe!