Mwanamke adai kupigwa ngumi na mchungaji wakati wa maombi

Mwanamke adai kupigwa ngumi na mchungaji wakati wa maombi

Sawa sawa. Na wahindu nao mungu wanayemwamini ni nishati, na wachawi mungu wanayemwaini... na waabudu mashetani mungu wanayemwamini...

Ndugu yangu haijalishi hakimu ninayemwamini mimi huwa anaachia huru wabakaji, siku nikibaka basi nitakutana na hakimu wa ukweli na mvua 30 nitakula. Yule hakimu wa kichwani mwangu hatakuwa kwenye kiti.

So unachoamini ni useless kama sio uhalisia. Kila mtu ana version yake ya Mungu kichwani halafu tena sasa kuna Mungu mwenyewe.

Bahati mbaya huyo mungu wako hayupo. Mungu alimuumba babu yako wa kwanza Adam akiwa mkamilifu. Akaasi na kupoteza ukamilifu. Naye alipoulizwa alimrushia Mungu lawama kama wewe hivi.

Lakini wakati unasema uongo ulikuwa na hiyari ya kusema ukweli. Na bado unataka kumlaumu Mungu kwa uongo uliousema?

Nani anayezini asijue ni jambo baya? Na bado utamlaumu Mungu.

Anyway kama ambavyo mbele ya hakimu inaongea sheria ndivyo siku ile mbele za Mungu. Nakushauri tu kwa upendo fikiria tena majibu bora zaidi ya kumpa Muumba wako siku hiyo. Haya hayana mashiko. Na usisahau yeye atakuwa hakimu wewe utakuwa mshtakiwa. Hutakuwa na nguvu ya kuamua by that time.

Ni ushauri tu kama haufai unaweza kuupotezea!
Ushauri wako naupotezea.
Umeandika mambo yakufikirika tu na tayari umejiaminisha kuwa mawazo yako ni sahihi ila ya wengine ni pumba.
Kila mmoja abaki na mungu wake anaye mwamini. Mwisho wa siku kila mtu kivyake...
 
Ushauri wako naupotezea.
Umeandika mambo yakufikirika tu na tayari umejiaminisha kuwa mawazo yako ni sahihi ila ya wengine ni pumba.
Kila mmoja abaki na mungu wake anaye mwamini. Mwisho wa siku kila mtu kivyake...
Ni jambo jema pia japo sio mawazo yangu ni Biblia ndio inafundisha hivyo. Mwisho wa siku kifo kitasema nani mkweli nani mwongo.

By then atakayekuwa chaka itakuwa too late.

Uwe na siku ya baraka!
 
Ni jambo jema pia japo sio mawazo yangu ni Biblia ndio inafundisha hivyo. Mwisho wa siku kifo kitasema nani mkweli nani mwongo.

By then atakayekuwa chaka itakuwa too late.

Uwe na siku ya baraka!
Biblia imeandikwa na watu kama wewe.
Uwe na siku njema.
 
Biblia imeandikwa na watu kama wewe.
Uwe na siku njema.
Naam ndivyo inavyosema. Ila waliongozwa na Roho Mtakatifu. Na kama umewahi isoma kwa kina hata sehemu ndogo tu utahakikisha hilo. Chanzo sio mwanadamu ila wanadamu walitumika kuandika.

Anyway siku ukiwa na wakati na una mood ya kujifunza nishtue nikupitishe kwenye hili somo uone mwenyewe.

Ahsante kwa kunitakia siku njema!
 
Haya ndiyo mambo yanayofsnya wstu wskstishwe tamaa kumtafuta Mungu maana wansona ni kama everiwea watakapokwenda itakuwa ni maigizo tu
Shetani anahakikisha vitimbi haviishi kwenye numyumba za ibada ili ku-divert watu wasimfuate Mungu.
Baadhi ya Watumishi wamekengeuka, ni vema utafute kanisa ambalo utakua na amani kumwabudu Mungu katika roho na kweli.
 
Ingekuwa hivyo zilipoanziwa ulaya na uarabuni wangekuwa masikini wa kutupwa
Umaskini sio mali tu hata fikra, umaskini wa fikra ndio unawasumbua.

Dini sio mbaya, ila watumiaji na namna wanaitumia imekua ni kama kichaka.

Mtu hajishughulishi kwa chochote, anashinda kwenye maombi, chochote anachopata anakimalizia huko, kesho na keshokutwa ana shida kubwa aidha ya kifedha anawageukia watu na kutaka misaada (ila kumbuka hawa watu wanavuja jasho kwa kipato wanachoombwa na mwanamaombi) ni maisha ya aina gani haya kama sio uzombi.
 
Umaskini sio mali tu hata fikra, umaskini wa fikra ndio unawasumbua.

Dini sio mbaya, ila watumiaji na namna wanaitumia imekua ni kama kichaka.

Mtu hajishughulishi kwa chochote, anashinda kwenye maombi, chochote anachopata anakimalizia huko, kesho na keshokutwa ana shida kubwa aidha ya kifedha anawageukia watu na kutaka misaada (ila kumbuka hawa watu wanavuja jasho kwa kipato wanachoombwa na mwanamaombi) ni maisha ya aina gani haya kama sio uzombi.
Sasa huyu haijui dini.Dini zote uendana na kazi, kwani Kazi ni sehemu ya ibada. Utamtolea nini Mungu bila kazi.
 
2C73BC80-9348-4422-8B51-F1B2AC4A1565.jpeg


Hiki kichwa cha habari ukikutana nacho lazima uanze kucheka tu!
 
Wachungaji wa mchongo wametapakaa kila sehemu siku hizi.
 
Back
Top Bottom