Mwanamke adai kupigwa ngumi na mchungaji wakati wa maombi

Mwanamke adai kupigwa ngumi na mchungaji wakati wa maombi

Kuwepo matapeli sio excuse kabisa. Biblia imeweka wazi siku zetu hizi manabii wa uongo watakuwa wengi na watadanganya wengi. Tena ikasema kwa matunda yao tutawatambua.

Kwa hiyo kwa anayesoma Biblia anajua hizi ni nyakati za hatari na kuwepo hawa watumishe ni uthibitisho wa Neno la Mungu.

Kuwepo pesa feki ina maana kuna OG. So badala ya kukataa pesa zote jifunze kujua feki na OG
Umenena vema mkuu, lakini mambo yanayoendelea yanafanya mtu uquestion hizi dini sometimes, ingawa ukaribu na Mungu unakuwa umebaki palepale.
 
Ujinga wa waafrika,
Mnaacha kufanya kazi mnaenda kusomewa biblia na mjanja mmoja na pesa mnachunishwa, upuzi kabisa.

Dini ni silaha kubwa ya umaskini.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wafia Dini watakushukia km mwewe.
 
Nilinyanyuka akarudia tena uli nirudi chini. Sifanyi tena huo ujinga wa kwenda sehemu kama hizo[emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatareeee sanaaaa.
 
Kuna mmoja akanishika kichwa ananiombea basi anafoka mate yanaruka kama mvua, ile mvua kweli si ya kitoto. Ilibidi nijiangushe chini ili kuepuka hiyo kero.
Nilitoka hapo nanuka mate ya mtumishi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tena mwamposa sasa, unaona mate yanaruka km Elininyoo, uwiiiiiih
 
Umenena vema mkuu, lakini mambo yanayoendelea yanafanya mtu uquestion hizi dini sometimes, ingawa ukaribu na Mungu unakuwa umebaki palepale.
Ukiangalia matapeli unaweza kudhani Walokole ni matapeli. But ukweli ni kuwa waganga wa kienyeji, matapeli ya mjini na vitombi nao wanajiita walokole.

Ila kuna watumishi wa Mungu wamenyooka kama rula na wana lengo moja tu, kuhakikisha kondoo wao wanaenda mbinguni. Kama kuna mtu yuko confused nimwelekeze mahali salama. Wapo wengi tu, sema sio maarufu!

Cha msingini mtu kujua hata siku ile Yesu atawaambia sikuwajua ninyi. So kabla hujakaa chini ya mtu au kanisa hakikisha kwanza wanamheshimu Mungu. Kama hawamheshimu Mungu jua utakuwa kinyago chao!

Naamini umewahi soma haya maneno ya Yesu mwenyewe

“Jihadharini na manabii wa uongo, watu wanaowajia wamevaa mavazi ya kondoo, walakini kwa ndani ni mbwa-mwitu wakali. Mtawatambua kwa matunda yao.

Je! Watu huchuma zabibu katika miiba, au tini katika mibaruti? Vivyo hivyo kila mti mwema huzaa matunda mazuri; na mti mwovu huzaa matunda mabaya. Mti mwema hauwezi kuzaa matunda mabaya, wala mti mwovu kuzaa matunda mazuri.

Kila mti usiozaa tunda zuri hukatwa ukatupwa motoni. Ndiposa kwa matunda yao mtawatambua.”
‭‭Mt‬ ‭7:15-20‬ ‭

Na hii hapa
“Si kila mtu aniambiaye, Bwana, Bwana, atakayeingia katika ufalme wa mbinguni; bali ni yeye afanyaye mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni.

Wengi wataniambia siku ile, Bwana, Bwana, hatukufanya unabii kwa jina lako, na kwa jina lako kutoa pepo, na kwa jina lako kufanya miujiza mingi? Ndipo nitawaambia dhahiri, Sikuwajua ninyi kamwe; ondokeni kwangu, ninyi mtendao maovu.”
‭‭Mt‬ ‭7:21-23‬ ‭
 
Huyo mchungaji akosee siku moja amdunde mwanaume ngumi, atajua hajui.
 
Kuna mmoja akanishika kichwa ananiombea basi anafoka mate yanaruka kama mvua, ile mvua kweli si ya kitoto. Ilibidi nijiangushe chini ili kuepuka hiyo kero.
Nilitoka hapo nanuka mate ya mtumishi
Pole sana aisee!
Ila mtafute Bwana maadam anapatikana!
 
Ukiangalia matapeli unaweza kudhani Walokole ni matapeli. But ukweli ni kuwa waganga wa kienyeji, matapeli ya mjini na vitombi nao wanajiita walokole.

Ila kuna watumishi wa Mungu wamenyooka kama rula na wana lengo moja tu, kuhakikisha kondoo wao wanaenda mbinguni. Kama kuna mtu yuko confused nimwelekeze mahali salama. Wapo wengi tu, sema sio maarufu!

Cha msingini mtu kujua hata siku ile Yesu atawaambia sikuwajua ninyi. So kabla hujakaa chini ya mtu au kanisa hakikisha kwanza wanamheshimu Mungu. Kama hawamheshimu Mungu jua utakuwa kinyago chao!

Naamini umewahi soma haya maneno ya Yesu mwenyewe

“Jihadharini na manabii wa uongo, watu wanaowajia wamevaa mavazi ya kondoo, walakini kwa ndani ni mbwa-mwitu wakali. Mtawatambua kwa matunda yao.

Je! Watu huchuma zabibu katika miiba, au tini katika mibaruti? Vivyo hivyo kila mti mwema huzaa matunda mazuri; na mti mwovu huzaa matunda mabaya. Mti mwema hauwezi kuzaa matunda mabaya, wala mti mwovu kuzaa matunda mazuri.

Kila mti usiozaa tunda zuri hukatwa ukatupwa motoni. Ndiposa kwa matunda yao mtawatambua.”
‭‭Mt‬ ‭7:15-20‬ ‭

Na hii hapa
“Si kila mtu aniambiaye, Bwana, Bwana, atakayeingia katika ufalme wa mbinguni; bali ni yeye afanyaye mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni.

Wengi wataniambia siku ile, Bwana, Bwana, hatukufanya unabii kwa jina lako, na kwa jina lako kutoa pepo, na kwa jina lako kufanya miujiza mingi? Ndipo nitawaambia dhahiri, Sikuwajua ninyi kamwe; ondokeni kwangu, ninyi mtendao maovu.”
‭‭Mt‬ ‭7:21-23‬ ‭
Nashukuru sana mkuu, nimeongeza maarifa mapya. Lakini nachoweza kusema tuko kwenye darkest times.
 
Bwana ninae...huyu baba watoto
Sawasawa. Baba watoto atakusaidia siku ukisimama kuhukumiwa Sawasawa n ulivyovunja amri za Mungu kwenye dunia yake 👏👏👏
 
Sawasawa. Baba watoto atakusaidia siku ukisimama kuhukumiwa Sawasawa n ulivyovunja amri za Mungu kwenye dunia yake 👏👏👏
Mungu ninaye mwamini mimi mwenye huruma na moyo wa kusamehe hataniteketeza kamwe!
Na ni yeye mwenyewe aliyeniumba na udhaifu wa hizi mnazoziita "dhambi". Angetaka niwe mkamilifu angeniumba anavyotaka niwe.
 
Mungu ninaye mwamini mimi mwenye huruma na moyo wa kusamehe hataniteketeza kamwe!
Na ni yeye mwenyewe aliyeniumba na udhaifu wa hizi mnazoziita "dhambi". Angetaka niwe mkamilifu angeniumba anavyotaka niwe.
Sawa sawa. Na wahindu nao mungu wanayemwamini ni nishati, na wachawi mungu wanayemwaini... na waabudu mashetani mungu wanayemwamini...

Ndugu yangu haijalishi hakimu ninayemwamini mimi huwa anaachia huru wabakaji, siku nikibaka basi nitakutana na hakimu wa ukweli na mvua 30 nitakula. Yule hakimu wa kichwani mwangu hatakuwa kwenye kiti.

So unachoamini ni useless kama sio uhalisia. Kila mtu ana version yake ya Mungu kichwani halafu tena sasa kuna Mungu mwenyewe.

Bahati mbaya huyo mungu wako hayupo. Mungu alimuumba babu yako wa kwanza Adam akiwa mkamilifu. Akaasi na kupoteza ukamilifu. Naye alipoulizwa alimrushia Mungu lawama kama wewe hivi.

Lakini wakati unasema uongo ulikuwa na hiyari ya kusema ukweli. Na bado unataka kumlaumu Mungu kwa uongo uliousema?

Nani anayezini asijue ni jambo baya? Na bado utamlaumu Mungu.

Anyway kama ambavyo mbele ya hakimu inaongea sheria ndivyo siku ile mbele za Mungu. Nakushauri tu kwa upendo fikiria tena majibu bora zaidi ya kumpa Muumba wako siku hiyo. Haya hayana mashiko. Na usisahau yeye atakuwa hakimu wewe utakuwa mshtakiwa. Hutakuwa na nguvu ya kuamua by that time.

Ni ushauri tu kama haufai unaweza kuupotezea!
 
Back
Top Bottom