Mwanamke agoma kufua kitambaa cha mkononi cha mmewe

Mwanamke agoma kufua kitambaa cha mkononi cha mmewe

kibovu

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2017
Posts
702
Reaction score
759
Habari ndugu zangu,

Rafiki yangu kaja kuniomba ushauri ameenda kumtembelea mchumba wake jijini Dar es salaam .

Jamaa angu kafika kaugua mafua makali akawa anamekea kitambaa chake cha mkononi kamasi hali ambayo mchumba wake alimtamkia hatoweza kukifua hicho kitambaa atafua mwenyewe jamaa alimueleza sisi ni wapenzi unashindwaje kufua kitambaa changu cha mafua na unajua sisi tutaishi mda mrefu je siku mwenzio mtu kati yetu akijinyea kwa sababu ya ugonjwa itakuaje kitambaa cha mafua tu kinakutoa imani mwanamke alimjibu am sory bby ila sintoweza kukifua.

Wakuuu naombeni mnishauri nimshauri jamaa yangu kama huyu anastahili kuwa mke asante
 
Hivi kabisa unapengea kamasi katika kitambaa halafu unataka mtoto wa watu afue huo uchafu wako?!

Mambo mengine ni kukosa akili, kukosa busara na kutokuwa na adabu kwa mpenzi wako. Kwanza kamasi huwa hatupengi kwenye leso, unatumia tissue, ukipenga unatupa.

Pili usipende kumfanya mwenza wako afanye vitu vya kipuuzi ili tu approve kuwa anakupenda wewe. Huo ni utoto na kukosa akili.
 
Kaka umechanganya. Huyo ni mchumba, siyo mke!!!! Hiyo ni handkerchief tu je boxer atafuliwa ??

Kiufupi kuna utofauti MKUBWA kati mchumba na mke halali.

Hakuna wa kulaumiwa ila jamaa ajitafakari maana hajachelewa.
 
Mapenzi si kutesana wala kujaribiana. Hivi kweli kitambaa chenye kamasi mwanamume unashindwa kujifulia? ni kitu rahisi tu na wala hakihitaji malumbano. Ingekuwa huyo kaka ni mahututi kabisa anasindwa hatu kusuuza makamasi yake tungemlaumu binti. Lakini inavyoonekana huyo kaka anafanya makusudi. Jitu kama hili linaweza kunya kwa makusudi kitandani ili mke afue!!! hii sio sawa. Mwanamke wako ni binadamu kama wewe! hata yeye akiugua akazidiwa utafua mavi yake!

Hapo inaonekana ni kujaribiana kishamba!
 
Hivi kabisa unapengea kamasi katika kitambaa halafu unataka mtoto wa watu afue huo uchafu wako?!

Mambo mengine ni kukosa akili, kukosa busara na kutokuwa na adabu kwa mpenzi wako. Kwanza kamasi huwa hatupengi kwenye leso, unatumia tissue, ukipenga unatupa.

Pili usipende kumfanya mwenza wako afanye vitu vya kipuuzi ili tu approve kuwa anakupenda wewe. Huo ni utoto na kukosa akili.
mkuuu mimi nimepokea ushauri wako nashukuru kiongozi
 
Mapenzi si kutesana wala kujaribiana. Hivi kweli kitambaa chenye kamasi mwanamume unashindwa kujifulia? ni kitu rahisi tu na wala hakihitaji malumbano. Ingekuwa huyo kaka ni mahututi kabisa anasindwa hatu kusuuza makamasi yake tungemlaumu binti. Lakini inavyoonekana huyo kaka anafanya makusudi. Jitu kama hili linaweza kunya kwa makusudi kitandani ili mke afue!!! hii sio sawa. Mwanamke wako ni binadamu kama wewe! hata yeye akiugua akazidiwa utafua mavi yake!

Hapo inaonekana ni kujaribiana kishamba!
mkuuuu nimepokea ushauri wako
 
makamasi tena

Mbona kama mnakomoana ..?

Ila umeshapiga mkuu.. tujue tunaanzia wap ?

Icho unatakiwa uulizwe baby kitambaa chako chenye kamasi kiko wapi nkakufulie [emoji16][emoji16][emoji23]
 
Hivi kabisa unapengea kamasi katika kitambaa halafu unataka mtoto wa watu afue huo uchafu wako?!

Mambo mengine ni kukosa akili, kukosa busara na kutokuwa na adabu kwa mpenzi wako. Kwanza kamasi huwa hatupengi kwenye leso, unatumia tissue, ukipenga unatupa.

Pili usipende kumfanya mwenza wako afanye vitu vya kipuuzi ili tu approve kuwa anakupenda wewe. Huo ni utoto na kukosa akili.
Bora hata useme wewe. Lol

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Mapenzi si kutesana wala kujaribiana. Hivi kweli kitambaa chenye kamasi mwanamume unashindwa kujifulia? ni kitu rahisi tu na wala hakihitaji malumbano. Ingekuwa huyo kaka ni mahututi kabisa anasindwa hatu kusuuza makamasi yake tungemlaumu binti. Lakini inavyoonekana huyo kaka anafanya makusudi. Jitu kama hili linaweza kunya kwa makusudi kitandani ili mke afue!!! hii sio sawa. Mwanamke wako ni binadamu kama wewe! hata yeye akiugua akazidiwa utafua mavi yake!

Hapo inaonekana ni kujaribiana kishamba!
Hakika kabisaaaah.

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Habari ndugu zangu,

Rafiki yangu kaja kuniomba ushauri ameenda kumtembelea mchumba wake jijini Dar es salaam .

Jamaa angu kafika kaugua mafua makali akawa anamekea kitambaa chake cha mkononi kamasi hali ambayo mchumba wake alimtamkia hatoweza kukifua hicho kitambaa atafua mwenyewe jamaa alimueleza sisi ni wapenzi unashindwaje kufua kitambaa changu cha mafua na unajua sisi tutaishi mda mrefu je siku mwenzio mtu kati yetu akijinyea kwa sababu ya ugonjwa itakuaje kitambaa cha mafua tu kinakutoa imani mwanamke alimjibu am sory bby ila sintoweza kukifua.

Wakuuu naombeni mnishauri nimshauri jamaa yangu kama huyu anastahili kuwa mke asante
Hicho kitambaa kinauzwa bei gani kikiwa kipya??
 
Back
Top Bottom