Mwanamke agoma kufua kitambaa cha mkononi cha mmewe

Mwanamke agoma kufua kitambaa cha mkononi cha mmewe

Hata angekuwa ni mke. Hivi kweli upenge kamasi umpe mkeo afue?!

Yaani nguvu za kupenga katika mapua yake anazo ila sio za kufua.
Mkuu mimi nakuelewa upo upande wa ustaarabu wa kawaida na uungwana kiujumla, kitu ambacho wengi wanatofautiana, kuna mwingine atapenga pembeni kisha kufuta pua kwa kitambaa, kuna mwingine atapenga zigo lote kwenye kitambaa. Sasa suala la usafi mwanamke kwa kuelewa kundi la muemewe sasa ndiyo alete ushauri lakini SIYO KUKATAA kumfanyia usafi mumewe.

Kuna wanawake wanaishi na wanaume wanakunywa pombe na kukojoa kitandani ila bado wapo na wanapendana na usafi anafanyiwa. Mapenzi kitu ingine kabisa jomba.
 
Mkuu mimi nakuelewa upo upande wa ustaarabu wa kawaida na uungwana kiujumla, kitu ambacho wengi wanatofautiana, kuna mwingine atapenga pembeni kisha kufuta pua kwa kitambaa, kuna mwingine atapenga zigo lote kwenye kitambaa. Sasa suala la usafi mwanamke kwa kuelewa kundi la muemewe sasa ndiyo alete ushauri lakini SIYO KUKATAA kumfanyia usafi mumewe.

Kuna wanawake wanaishi na wanaume wanakunywa pombe na kukojoa kitandani ila bado wapo na wanapendana na usafi anafanyiwa. Mapenzi kitu ingine kabisa jomba.
Na huyo mwanamke anakuwa sio mzima
 
Kazi kweli kweli.
Hakuna chepesi. Ni suala la kujitoa. Hushawahi fikiria what if mumeo kwa bahati mbaya akapata tatizo kuamka hawezi, yaani haja ndogo na kubwa zote hapo alipolala na wewe ndiye uliye naye utaweza msimamia?
 
Na huyo mwanamke anakuwa sio mzima
Umejibu vema. Basi elewa unapewa wa kuendana naye ambaye atakuwa tayari kujitoa kwa kila hali kwaajili yako kwasababu ANATHAMINI UWEPO WAKO KATIKA MAISHA YAKE.

Ngumu kuelewa, ila jitahidi.
 
Yaani mtu anakojoa kitandani kwa makusudi sababu ya ulevi wake yeye anacheka nae.....huo sio ujinga kweli?!
"kwa makusudi" "sababu ya ulevi" unataka nikujibu kupitia kwa makusudi au kwa sababu ya ulevi?
 
Hakuna chepesi. Ni suala la kujitoa. Hushawahi fikiria what if mumeo kwa bahati mbaya akapata tatizo kuamka hawezi, yaani haja ndogo na kubwa zote hapo alipolala na wewe ndiye uliye naye utaweza msimamia?
Mwenyezi Mungu amuepushie Mume wangu kipenzi.

Ndugu yangu mume mtamu, asipokuwa na Furaha siku unaiona chungu, kutwa kumpigia umsikie sauti yake... akichelewa kurudi hali tafrani..Sasa kuumwa ushindwe kumtunza?
 
Hapo hakuna mke. Demu wangu tu kila weekend anakuja. Anafua kila kitu. Boxer na vitambaa vyote na akikuta nimefua analalamika nimeingilia majukumu yake.
 
binafsi hata cha kwangu mwenyewe sifuwi

nashukuru mtu niliye nae ni very matured anajinunulia dozen ya leso ni kubadili tu na ku dispose
 
Ndio. Sasa mtu anajua pombe haziwezi, akinywa anaharibu, unaita ni bahati mbaya hiyo?!
Kila binadamu ana mapungufu yake

Hata wewe kuna moja ambalo mke wako akionekana anakuvumilia walimwengu watamshangaa hasa mimi wifi mtu.

Kila mmoja anapata wa kufanana nae, huyo aliyeleta uzi hajapata wa kufanana nae, akipata wa kufanana nae atafua na wala haitaleta shida.

Na wewe utapata wa kufanana nae (ambaye itabidi hadi umfulie)

Ndivyo ilivyo, Mungu anatuletea yule ambaye mimi nitakamilisha mapungufu yake na yeye atakamilisha mapungufu yangu.

Kinyume na hapo, ndio kunakuwa na maswali yasiyoisha kwa pande zote mbili, migogoro isiyoisha, lakini pia kila mmoja atakuwa anamuangalia mwenzie kwa jicho la tofauti.
 
binafsi hata cha kwangu mwenyewe sifuwi

nashukuru mtu niliye nae ni very matured anajinunulia dozen ya leso ni kubadili tu na ku dispose
hongera,sana mkuuu
 
Hapo hakuna mke. Demu wangu tu kila weekend anakuja. Anafua kila kitu. Boxer na vitambaa vyote na akikuta nimefua analalamika nimeingilia majukumu yake.
mkuuu kazi ipo kwakweli
 
Mwenyezi Mungu amuepushie Mume wangu kipenzi.

Ndugu yangu mume mtamu, asipokuwa na Furaha siku unaiona chungu, kutwa kumpigia umsikie sauti yake... alichelewa kurudi haki tafrani..Sasa kuumwa ushindwe kumtunza?
Ameen. Umemaliza. Sina cha kuongeza.
 
Happo hakuna mke Kama ameshindwa kufua kitambaa siku akiungya ukimwi itakuwaje mwanamke anapimwa kupitua vitu vidogo vidogo ,mwanamke anapimwa kwa kauli ,huruma ,jins ya kufua ,kupika, kufagia au kutandika kitanda hutajua hapa Sina mke ama ninae
 
Back
Top Bottom