Halafu mnasema hakuna wake wa kuwaoa.Kaka umechanganya. Huyo ni mchumba, siyo mke!!!! Hiyo ni handkerchief tu je boxer atafuliwa ??
Kiufupi kuna utofauti MKUBWA kati mchumba na mke halali.
Hakuna wa kulaumiwa ila jamaa ajitafakari maana hajachelewa.
Hata angekuwa ni mke. Hivi kweli upenge kamasi umpe mkeo afue?!Kaka umechanganya. Huyo ni mchumba, siyo mke!!!! Hiyo ni handkerchief tu je boxer atafuliwa ??
Kiufupi kuna utofauti MKUBWA kati mchumba na mke halali.
Hakuna wa kulaumiwa ila jamaa ajitafakari maana hajachelewa.
Hajakuwa huyo jamaa yako kuna vitu havilazimishiki mapenz sio utumwa Amka Amkamkuu hujakua
mkuuuuu nimekupataHajakuwa huyo jamaa yako kuna vitu havilazimishiki mapenz sio utumwa Amka Amka
mkuuuu hujui mapenzi wwHata angekuwa ni mke. Hivi kweli upenge kamasi umpe mkeo afue?!
Yaani nguvu za kupenga katika mapua yake anazo ila sio za kuf
Huyo Huyo dada mara moja moja na yeye awe anakojoa kitandani ili wabalance mchezo.Mapenzi si kutesana wala kujaribiana. Hivi kweli kitambaa chenye kamasi mwanamume unashindwa kujifulia? ni kitu rahisi tu na wala hakihitaji malumbano. Ingekuwa huyo kaka ni mahututi kabisa anasindwa hatu kusuuza makamasi yake tungemlaumu binti. Lakini inavyoonekana huyo kaka anafanya makusudi. Jitu kama hili linaweza kunya kwa makusudi kitandani ili mke afue!!! hii sio sawa. Mwanamke wako ni binadamu kama wewe! hata yeye akiugua akazidiwa utafua mavi yake!
Hapo inaonekana ni kujaribiana kishamba!
Ukiwa na binti halafu akakutana na mwanaume mpuuzi utaelewa maana ya huu mwiko.miiiko mingine mkuu ya kujitakia sasa huuu mwiko.unatoka wapi
We jamaa nisikilize mimi hao waliokwisha kutangulia wame coment pumba,Habari ndugu zangu,
Rafiki yangu kaja kuniomba ushauri ameenda kumtembelea mchumba wake jijini Dar es salaam .
Jamaa angu kafika kaugua mafua makali akawa anamekea kitambaa chake cha mkononi kamasi hali ambayo mchumba wake alimtamkia hatoweza kukifua hicho kitambaa atafua mwenyewe jamaa alimueleza sisi ni wapenzi unashindwaje kufua kitambaa changu cha mafua na unajua sisi tutaishi mda mrefu je siku mwenzio mtu kati yetu akijinyea kwa sababu ya ugonjwa itakuaje kitambaa cha mafua tu kinakutoa imani mwanamke alimjibu am sory bby ila sintoweza kukifua.
Wakuuu naombeni mnishauri nimshauri jamaa yangu kama huyu anastahili kuwa mke asante
Mwanaume huwa anapokujia tambua hajakupenda ila kavutiwa na wewe yaani asilimia 15 ndiyo ambazo zinamfanya mwanaume kukufuata, hizo 15 ni muonekano wako, jinsi ulivyo nje.Halafu mnasema hakuna wake wa kuwaoa.
Shubaaaamit.
boxer anafuliwa
Kazi kweli kweli.Mwanaume huwa anapokujia tambua hajakupenda ila kavutiwa na wewe yaani asilimia 15 ndiyo ambazo zinamfanya mwanaume kukufuata, hizo 15 ni muonekano wako, jinsi ulivyo nje.
Kuolewa sasa inategemea asilimia 85 zilizobaki ambazo ni muenendo wako kiujumla kulingana na utashi wa mwanaume husika.
Tunaomba msamaha huwa tunawadanganya tutawaoa mwanazoni kwasababu zile 15% huwa zina influence kubwa sana tunapowatazama hivyo kufanya juu chini mpaka muingie box, then after that akili ikikaa sawa narudi kucheki 85% ambazo huwa ndiyo yenye kutoa maamuzi kamili nikuweke ndani au nizidi komaa na 15 % huku nikiendelea kutafuta mwenye kukidhi zile 85%.
Karucee
mkuuu kiukweli ushauri wako upo vzr sanaWe jamaa nisikilize mimi hao waliokwisha kutangulia wame coment pumba,
Kwa kifupi mwananmke ni msaidiz wa mwanaume kwa hio ukiona kuna mambo mke ana kugomea ujue sio mke hyo tena mluke kbsaa, siku zote ukiona mke anatka 50 kwa 50 au kuna vitu simple km ivo anakugomea mteme mapema
Kuna jamaa nimepanga nae yan mke wake ni km malaika kwa matendo jamaa akitoka kazin anafikia kibarazan mke anakuja anamvua viatu ana mletea ndala za kishindia yan kwa jinsi ana mu handle mme wake ni km kaokota dhahabu jamaa sio mkali yupo simple, sasa we unadhani ndoa km hii itavunjiaka kirahisi?
Nowadays wanawake wanataka 50 kwa 50 ina coast sana dat y unaona single mother weng siku hzi mwambie jamaa ako akimbie huo moto kbsa
asante kwa ushauri mkuuMkuu inategemea na mtu mwenyewe.
Tukumbuke kuna wenzetu wanavinyaa hata kwa vitu vyao vyenyewe sembuse vya mwingine.
Halafu inategemea na huo upendo hao wawili wanautafsiri vipi.
Mimi binafsi nafua bila tatizo.
Hujawahi kuona mwanamke ana mtoto wa kumzaa lakini ikitokea kajisaidia haja kubwa anavyombadilisha anakunja uso? Ifike mahali tukubali tutokukubaliana kila jambo
Mapenzi sio kushindana au kujaribiana. Mapenzi ni raha... mapenzi hayana sababu! mapenzi hayana kutafutiana ubaya!Huyo Huyo dada mara moja moja na yeye awe anakojoa kitandani ili wabalance mchezo.