Mwanamke akikosa "attention" anachanganyikiwa, kuchanganyikiwa kunamfanya apatikane kirahisi

Aliyejitahidi kuisoma yote atufanyie ufupisho kwa sentensi moja
 
Aliyejitahidi kuisoma yote atufanyie ufupisho kwa sentensi moja
Nikwamba mwwnamke ili umuweze yaani akushobokee basi wewe usioneshe kama unamuona mzuri kiviiiiileee,yaani jifanye unamiona wa kawaida tu.

Ukishajifanya unamuona wa kawaida tu hapo mwanamke atapagawa na kujiuliza kwwmba ina maana huyu jamaa hanikubali hanioni kama mimi pisi ?

Hapo akishajiuliza ndipo ataanza kusema "sikubali nitafanya kila njiaa ili akubali kwamba mimi pisi"

Hapo ndipo ataanza kutumia njia za kujilengesha na kujipemdekeza kwako ili tu ajiridhishe kwamba umekubali kuwa yeye ni mzuri
 
Aliyejitahidi kuisoma yote atufanyie ufupisho kwa sentensi moja
Nikwamba mwwnamke ili umuweze yaani akushobokee basi wewe usioneshe kama unamuona mzuri kiviiiiileee,yaani jifanye unamiona wa kawaida tu.

Ukishajifanya unamuona wa kawaida tu hapo mwanamke atapagawa na kujiuliza kwwmba ina maana huyu jamaa hanikubali hanioni kama mimi pisi ?

Hapo akishajiuliza ndipo ataanza kusema "sikubali nitafanya kila njiaa ili akubali kwamba mimi pisi"

Hapo ndipo ataanza kutumia njia za kujilengesha na kujipemdekeza kwako ili tu ajiridhishe kwamba umekubali kuwa yeye ni mzuri
 
Vipi mkuu, uliipiga hiyo "punani manyana"😆😆😆, au umeiacha ikuangalie mpaka imechoka, imempa baharia mwingine?
 

No ,dont get deceived na hawa watu,hakuna mwanamke anayevaa ku impress,na kama wapo basi ni kuimpress wanaume.

Imagine ingekuwa vipi wanawake wawe peke yao duniani,unadhani hizo fasheni na kujiremba wangejiremba ili nani awasifie.??
 
No ,dont get deceived na hawa watu,hakuna mwanamke anayevaa ku impress,na kama wapo basi ni kuimpress wanaume.

Imagine ingekuwa vipi wanawake wawe peke yao duniani,unadhani hizo fasheni na kujiremba wangejiremba ili nani awasifie.??
Maan not all of them trust me. Kuna wanawake hawana taste na fashion wao huvaa tu. Ukimsifia sawa ila usipomsifia pia its not a big deal
 
Maan not all of them trust me. Kuna wanawake hawana taste na fashion wao huvaa tu. Ukimsifia sawa ila usipomsifia pia its not a big deal

Hao wapo ndio nakubali ila hio inaweza kusababishwa na some life experiences kama hardship na vitu zingine,ila at her relexing mode akiwa hana stress ,mkuu lazima atapata hisia hizo coz its something wanapenda,women waanapenda sana attentions .
 
Hao wapo ndio nakubali ila hio inaweza kusababishwa na some life experiences kama hardship na vitu zingine,ila at her relexing mode akiwa hana stress ,mkuu lazima atapata hisia hizo coz its something wanapenda,women waanapenda sana attentions .
mimi nadhani hizi sifa ama baadhi ya mambo wanawake wanakuwa nayo kutokana na background ya malezi waliyokulia wenyewe
 
Na ukimpa attention anakuona buzi jinga fala unajikomba bwege. Kinachofuata matusi ya nguoni dharau na kuigawa kama njugu!
Ndugu hawana formula hao. Kalagabaho.....
 
Na ukimpa attention anakuona buzi jinga fala unajikomba bwege. Kinachofuata matusi ya nguoni dharau na kuigawa kama njugu!
Ndugu hawana formula hao. Kalagabaho.....
Yaliwahi kunikuta hayo sina hamu daah. Mwanamke kaa nae kibabe, yaani fanya kama humkubali ila unamkubali...Usimuonyeshe kua yeye ndio kila kitu kwako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…