Mwanamke akikosa "attention" anachanganyikiwa, kuchanganyikiwa kunamfanya apatikane kirahisi

Mwanamke akikosa "attention" anachanganyikiwa, kuchanganyikiwa kunamfanya apatikane kirahisi

Tupe mrejesho mkuu kama ulikakula
Sikukala, kakiniletea maringo nikakapotezea, kila nikikatongoza hakasemi kama kamwaka mpya kakanitext Neno happy new year sijasijajibu, siku mbili baadae kanipigia nikawa nakajibu short short tu,

anachonikera ni kwamba nilipanga nae appointment ya kukazia mtongozo, hakapokei simu wala hakajibu msg, na wakati huo nishapoteza muda wangu kusafiri mpaka eneo la tukio.
 
Sikukala, kakiniletea maringo nikakapotezea, kila nikikatongoza hakasemi kama kamwaka mpya kakanitext Neno happy new year sijasijajibu, siku mbili baadae kanipigia nikawa nakajibu short short tu,

anachonikera ni kwamba nilipanga nae appointment ya kukazia mtongozo, hakapokei simu wala hakajibu msg, na wakati huo nishapoteza muda wangu kusafiri mpaka eneo la tukio.
Pole sana huo ndio uanaume. Unakutana na vitu kama hivi
 
View attachment 2337175

Eid Mubarak y’all…

Napenda kuomba radhi kwanza kwa maneno makali/yasiyo na staha niliyotumia katika katika mada hii, I failed to put it together. Samahanini kwa wote ambao andiko hili litaSound vibaya kwenu.

I’m not something of an expert and these sorts of things it's kinda not my area of expertise, but I will try to address this matter accordingly byto explaining the obvious-superbly.

Well, on default mode kichwani mwa mwanamke anaelewa kwamba yeye ndio center of attention and attraction kwa mwanaume, yaani hakuna anayeweza kumpagawisha mwanaume zaidi ya yeye mwanamke. Kwakulitambua kila mwanamke hutazama ni kitu gani hasa kajaliwa mwilini mwake ambacho anadhani kinaweza kuvuta attention ya mwanaume yoyote kama vile sauti, umbo anavyotembea, macho, tako, nyonyo, mapaja, nk akishaona kipi hasa kapendelewa basi atanza kukifanyia madoido na maonyesho ili wanaume wampe attention. Mfano, kama ana tako na shepu basi ataanza kuvaa nguo zinazochora na kuonyesha umbo lake vyema,kama ni macho mazuri basi ndio kila mda atakuangalia kwa kukurembulia au kuyatoa yawe makubwa kama mpira wa pooltable, kama ni nyonyo basi atavaa nguo zinazoonysha nyonyo vyema same applied to miguu ya bia,mapaja, kiuno nk nk.

Kwa sababu hiyo hapo juu ndio maana wenzetu hawa hutumia muda mwingi na ghalama kubwa kujipamba na kuiremba ili tu kuweza kukamata attention ya mwanaume. Sasa ikitokea mwanamke katumia muda na ghalama zake kujiremba halafu akatembea umbali maybe wa saa nzima kwenda na kurudi halafu ikatokea hakuna mwanaume yoyote hata anayegeuka kumtazama, kumpigia mluzi, kumuita au kufanya kitu chochote ambacho mwanaume ataonekana kawa attracted na huyo mwanamke basi Psychologically atakua Disturbed na akirudi nyumbani lazima ajichunguze wapi kakosea au ana kasoro gani hasa kwanini ‘kavunja kabati’ halafu nobody noticed her in any form of expression.

Anakua psychologically disturbed kisa tu no one noticed like a smoke in a the dark because kama nlivyosema wanawake wote duniani wanaelewa wao ndio center of attention and attraction kwa wanaume so ikiwa hatapata attention aliyodhania kwamba anayo na lazima aipate kutoka kwa mwanaume lazima imuume na kumtesa kiakili.

kwanini watu Hardcore Guys/ wasiojali wala kushobokea wanawake na watu wakimya ndio wanaongoza kwa kuwala/kuWin mioyo ya wanawake wengi zaidi?
View attachment 2337174

Kama nilivyoeleza huko juuu mwanamke siku zote hufunya kila kitu kuwinda attention ya mwanaume yaani aonekane kwamba Fulani Yule pale anapita na apate confirmination feedback kwamba wamemuona. Mwanaume ukiwa haushobokei mwanamke yaani labda mwanamke Fulani kwenye group lenu labda darasani,mtaani,ofisini nk akiwa anajiona yeye ni mrembo/pisi kali wanaume wakiwa wanamshobokea halafu wewe ukawa hujali chochote kuhusu yeye yaani kama humuoni au unamchukulia kama kambale tu , lazima mwanamke huyo ajiulize kwanini wewe humshobokei na itamtesa kwa kweli akilini mwake. Ataanza kutafuta njia na sababu yoyote kua karibu nawe ili tu ajue “what special about you” mpaka hujali kuhusu yeye.

Sasa katika kutafuta attention hiyo kwako mwisho wa siku anajikuta Tunda liinaliwa mockery. Same applied to Quite Guy, wanaume wakimya kwasababu hawana muda wa kupiga stori na wadada wao wanajai mambo yao tu yaliyowapeleka sehemu hiyo. Wanawake wakiona mtu huyo yupo tu na mambo yake yeye ni salam basi hana stori nao basi lazima waanze kutaka kujua what special about the guy hadi anakua hana stori nao. Watatumia njia yoyote hata kwa kukuletea chakula, vizawadi, hata kukuongelesha ongelesha ilimradi tu uwape attention yako. Katika kufanya hivyo ndio wanajikuta pia tunda limeliwa Mockery.

Unajua On universal law mwanaume anakua defined mbele ya jamii kwamba yeye ni nani kwa matendo yake na si maneno, ila kwa wenzetu hawa Mwanaume anakua defined kwa Maneno na Expression yake. Yaani anaongea nini na ana haiba gani, mwanamke anataka apate attention ya mwanaume kwa kuambiwa maneno mazuri mazuri kutegemea na jinsi alivyoumbika, pia anategemea mwanaume atampa attention kwa kumfuata-fuata.

Wanawake wana tabia moja naiita "Show and Tell", kwamba wakiwa kwenye maongezi yao wanapenda kumchambua mwanaume mmoja mmoja, kama nilivyosema wanawake wanapenda zaidi maneno. Ikitokea mwanamke akamuongelea mwanaume Fulani maneno mazuri basi hao wengine wote wote wataanza kuvutiwa na mwanaume huyo. Utakua unapita mtaani tu unaona wanaku-Admire na kukuchekea kumbe File lako washalipata.

Wakimsema mwanaume Fulani ni mkimya au anajisikia sana basi wengine wote wataanza kumfuatilia mwanaume huyo wajue kwanini anajisikia sana, Deepdown sio kwamba mwanaume anakua hajiioni bali ni kwamba He doesn’t give a fvck about them-chicks , he’s just minding his own business . hiyo inawaumiza kweli kichwa wanawake and bumming them out.

Mwanamke akikosa attention ya mwanaume anachanganyikiwa na akianza kuwinda attention ya mwanaume atatumia kila mbinu anayoijua kuipata. Si mnajua mwanamke akiPlot mipango yake kutenda kitu hata shetani mwenyewe anakaa chini kuigilizia mbinu….Ukitaka kujua moja ya mbinu zao za kuwinda attention angalia picha zao za Fb, Insta na video zao za Tiktok.

[NB: Kocha hutoa maelekezo akiwa nje ya Uwanja😉😉]
View attachment 2279344

[Naombeni radhi nyote mliyochukizwa na mada hii, halikua kusudia langu kuwachukiza]

Vinci…
😍😍
 
Ngoja na me nitoe my confession.

Nikiwa ndio naanza form one katika shule fulani hivi ya boarding nilikutana na bro fulani nae alikuwa ni mgeni pale shule. Basi room tuliyokuwa tunakaa tulikuwa wageni wote yaanicnew comer.

Katika stories mbili tatu huyu bro alikuwa smart sana nakumbuka aliniambia wanangu katika maisha haya kuwa kauzu usitabirike kabisa kuwa na mambo yako tu.
Basi nikiwa ndio nipo form one hata sketi sijui basi nikaapply hiyo kitu na for sure ilikuwa inaendana na haiba yangu.
Duh basi wanafunzi wa kike nilikuwa sibongi nao kabisa. Hata girlfriend niliodate nao shule nilitongoza mmoja tu hao wengine nilikuta wanakuja kwangu ila sikuwapa kipaumbele hadi leo.
First lover tulikuwa mikondo tofauti alikuwa hajui ya ndani kunihusu kabisa
Nakumbuka nikiwa form two ndio alikuja kujua ya kuwa me ninabonda mitihani kinyama. Alibaki mdomo wazi baada ya tokeo kubandikwa.

Nilimaliza ile shule huku nikijulikana kwa walimu wanne tu nao kijuu juu walikuwa wanaonaga maksi zangu ila muhuni hawamjui.
Advance nilisoma mpk namaliza sijawahi ongea na mtoto yeyote wa kike. (nina sababu zangu na iliniepusha na mengi).
Chuo sikuwa naeleweka mambo yangu kbsa.
By the way nilipanga nitoke na clean sheet kabisa yaani nisidate na mwanamke yeyote kwa miaka yote ya chuo.
Ah nikajikuta kuna mdada wa huko uchagani ninamkula kimasihara. Tulizoeana kiduchu. Kiujumla mimi hall za chuo nilikuww sibadilishi seat ya kukaa. Nilikuwa nakaaga palepale na walikuwa wanaheshimu sana. So huyo mchaga alikuwa anakujaga kukaa na me. Karibia kufunga nikamuambia kesho njoo geto akaja.
Nikamuambia vua nguo akavua. Lala akalala. Nikampanda. Baadae akaja juu. Akakalia. Kanogewa akasema hivi utakuja kunisaliti? Nikachekaaa. Nikamkalia buyu.
Nyie mnasemaga wachaga wabovu kitandani. Sio kwa yule alikuwa anajituma huku me rohoni nacheka.
Mwingine ni hostel mate. Mtoto wa mbeya.
Me na yeye ni salamu tu. Bado siku mbili niondoke nirudi home. Akashangaa namuita getho anipangie nguo. Akanipangia. nikamuambia leo nalala kwako. Sawa akajibu. Wakati ananipangia nguo nashangaa ananiletea singlendi mpya. Nikambikiri usiku ule. Akaanza lalamika ohh nilikuwa nakupenda kitambo ila huna habari oh we handsome (kimoyomoyo nasema handsome wa nyoko).
Nikakaaga kimya hadi leo.

Nikiwa field nilikuwa busy muda wa mapumziko me na earphone .kuna mwanamke fulani hivi alikuwa anatamani kuniingilia lakini sikumruhusu kabisa. Of course nilimkatili kihisia. Siwezi date na kila mtu bhna.
siku ya kuagwa kuna vidada vinataka namba yangu.
Sikutaka kuharibu kazi na heshima angu h kozi nilijiwekea mipaka watu gani nitadate nao maishani. (wake za watu me siwezi hata iweje)
Kamoja kakanitongoza oh kananipenda me sijibu kitu. Kananiuliza maswali mengiiiii me sijibu. Nilivomaliza field kakataka kuja nilikopanga. Hako kakaja. Paao sebuleni kakanikalia.

Kalikuwa kabikra afu kazuri hatari. Niko nako hadi leo. Ni pisi kali kuliko zote nimepata date. Ila hakaishi kunidodosa lakini ugumu nakawekea hadi leo.
Kuna siku kanasema ulivyokuwa pale field nisingekuwa makini rafiki angu angeniwahi.
Moyoni nacheeeka.
Mkesha wa pasaka kuna kadada kako mbele yangu ile wengine wanapiga makofi mixer vigelegele. By the way me nikiwaga church nakuwaga kimya naimbaga kimoyomoyo. Yule mwanamke akshangaa afu akawa anafosi na me nipige makofi na ninese kucheza kama wao. Me hata sereact chochote. Muda wa kutoka hanioni.
Kesho yake Pasaka kaja kukaa nilipokaa. Nikaona hii kero. Nikamfukuza hakatoki. Kuna muda nikakapima. Nikatabasamu kiduchu na kupiga kofi moja. Kakafurahii weee. Nje tunatoka kakawa kanajitambulisha wee kanauliza jina langu. Nikakaambia. Kakasema nitakupataje sasa. Simu ninayo ila nikachukua kijiti nikaandikia namba chini. Nikaondoka. Baadaye kakani txt.

MTOA MADA UKO SAHIHI 100%.
UKIACHANA NA HII KUWA NA PRIVACY inasaidia hata kwa maisha binafsi sana ukiachana na kuvutia wanawake ila hata life la kawaida inasaidia pakubwa.

Sipendagi mtu mwenye maneno mengi mimi.
Mama angu mwenyewe huwa anaongea sana sipendagi kabsa. Ongea kidogo maongezi yaishe.
Chai ya motoo
 
Kuna demu mmoja nilikutana nae kwenye daladala alikuwa ni Black beauty, mwembamba, mrefu kidogo, kwakweli kisura hakuwa mzuri kivile lakini alikuwa akicheka ndio uzuri wake unauona, sasa yule demu nahisi mwenyewe keshajijua ili aonekane pisi ni lazima avenue, basi kwa kweli ndani ya gari hatukuwa na raha maana alikuwa anafanya kila njia apate cha kucheka, alikuwa anacheka muda wore na mimi nilikuwa nimekaa nae karibu nilikuwa namuinjoy anavyofurahia kujichekesha ili uzuri wake uonekane, yaani mpaka ameshuka daladala bado anacheka tu kama anatangaza colgate
 
Aiseee kwa hiyo mi najiremba ili kupata attention toka kwa wanaume!!!!![emoji16]
Binafsi napenda kujiremba sijawahi waza nijirembe ili nipate attention lkn i know i have to keep smart myself yani jipende ww mwenyewe kwanza,
Kuhusu kutokuitwa au kupigiwa miluzi mi sizingatii ata wamepiga au hawajapiga yan hio mm hainihusu wala kunipa maswali labda km hawajapiga it's not my concern, All in all kupata attention toka kwa mtu unayempenda ni muhimu sana nadhani tumeumbwa hivyo .
NAKAZIA
 
Uko sahihi mzee ila hili linaendaga na level of confidence ya wanawake tofauti. Kuna ambao wako so confident hawa hawaitaji approval yeye akivaa vizuri akapendeza anaji feel freshi tu the only attention she needs ni toka kwa mwanaume anaevutiwa nae ila kuna wengine wana dress to impress!
Well said [emoji106]
 
Pole sanaaa.
Mwanaume wa kweli hupotezea Mazima ishu za namna hiyo, chief ukitaka haya maisha uishi bila stress jifunze pia namna ya kuacha wale wasioendana na wewe waende bila ugomvi wala maumivu.

Ilitokea 10 years,nilipenda kupita maelezo,pia visenti nilikuwa navyo,nilijitahidi kutunza kulingana na uwezo wangu,Ila alinichukulia poa sanaaa.
Huwa napata nafasi ya kupata busara za wazee,nikashilikisha hii ishu,nikaambiwa kijana usiumie,hapo hujapoteza,bali umewekeza,ACHANA NAE KISTAARABU.

Kweli nikafuata ushauri kibishii,sikumtafuta na nikaji-disconect nae totally. Maisha yakaendelea,after one week,alikuja na kelele nyiiingi,ooh umenitenga,au ndio umeniachaa?!
Nikamwambia,nina maisha mengine kwa sasaa kwahiyo endelea na huyo unaempa attention.

Now nimeoa,ila hajawahi nisahau kwenye maisha yake,sitaki nisema sanaaa eneo hilo Ila namuelewa vilivyo mtoa mada, chief muache aende, wazuri bado wapo weengi, naamini utapata mzuri na mwema kuliko huyo,usiruhusu tamaa/kisasi kiondoe UTU WEMA ULIONDANI YAKO.
Nimeona niseme kitu, hope utaipokea positive.
mkuu Malchiah ninachojifunza hapa hata ukikata mawasiliano na mwanamke ni sehemu pia ya kumyima attention na huwa inamuuma kitendo cha kutoendelea kuwasiliana nae.
 
Back
Top Bottom