Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nikuhudime hivo we umekuwa robot la kiwanda cha magari ya toyota kwamba nitapata faidaWatu wenye uwezo wa kutoa pesa, gari, kazi hata hawalalamiki kama mahayawani humu, weee kama huwezi hudumia mwanamke tafuta level zako hudumia afu 3 kwa wiki baaasii
Ndo maana nikasema wenye wanatoa hivyo tena kutoka mioyoni na mifukoni mwao hawajiulizi yote hayo.nikuhudime hivo we umekuwa robot la kiwanda cha magari ya toyota kwamba nitapata faida
poleni sanaNa washamba tupo wengi dunia hii
Wazazi wako washindwe kukusomesha na kukutafutia kazi nzuri ugeuke kuwa ombaomba kwa kusingizio eti matunzo.Watu wenye uwezo wa kutoa pesa, gari, kazi hata hawalalamiki kama mahayawani humu, weee kama huwezi hudumia mwanamke tafuta level zako hudumia afu 3 kwa wiki baaasii
Safi sana.Mimi binfsi nampenda sana mwanamke wa kuomba omba hasa yule anaeomba siku ya kwanza tu baada ya kujuana.
Kwangu mwanamke wa hivyo ni rahisi kumla. Maana kila atakachokiomba humkatalii na tena ikiwezekana unamjibu kuwa utampa zaidi ya alichoomba, kwa sharti moja tu unamwambia sawa njoo uchukue.
Kwa vile ni wapumbavu na wana tamaa ikishakuwa kaahidiwa zaidi atakuja resi na kutoa maungo yake yote akijua kaja kuvuna.
Ukishammwagia kojo zito tu, hapo ndipo vimbwanga vinaanza. Unazuga account imezingua utamtumia baadae, unampa mwekundu wa nauli unasepa ukiwa mwepesi. Baada ya hapo haambulii chochote.
Mimi binafsi nina namba za watu wangu ambao nishawapanga. Kuna dalali wa nyumba (huyu maalum kwa wale wanaotaka kupangiwa nyumba, kuna muuza simu, huyu maalum kwa wale wa simu imeharibika, huwa anapigiwa kuwa kesho kuna binti ataenda kuchukua simu, kuna agent wa gas, kuna dada mmiliki wa saloon kali sinza) kwa hiyo kila atakachoomba humkatalii na unapiga simu kabisa mbele yake. Anajipa matumaini kakutana na kibopa.
Kuna demu nilishawahi mpeleka mpaka yard ya gari kuangalia IST na akasainishiwa karatasi kuwa imelipiwa nusu. Huyu Bi dada siku hiyo alinyonya hata visivyonyonywa. Siku ya pili alipoenda kufuata IST yake aliambiwa kwani yard ya baba yako mpaka upewe gari bure.
Itoshe kusema niltumiwa msg za kutosha za matusi lakini kipindi hicho nishakula mbususu. Mademu omba omba ni wa kupiga na kusepa tu.
Asantepoleni sana