To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
🤣🤣🤣🤣tutakomaHawa 'kausha damu' hakuna kuwapumzisha.... Wakifa tunafuata walipo tunaendeleza mashambulizi....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣tutakomaHawa 'kausha damu' hakuna kuwapumzisha.... Wakifa tunafuata walipo tunaendeleza mashambulizi....
Kuomba omba sio kuzuri sawaaa ila mwanaume wa kulalama hivi ujue huna hela ya kuhudumia mpenzi wako acha wenye uwezo wahudumiane
Siwapumzishi hawa watu mpaka waache kuwa ombaomba watafute kazi sasaView attachment 2910557Eeeeh, kachokonoa Mzinga
Tuma picha yake nikuambie kitu𝗞𝘂𝗻𝗮 𝗵𝗮𝗼 𝗼𝗺𝗯𝗮𝗼𝗺𝗯𝗮 𝗵𝗮𝗹𝗮𝗳𝘂 𝗸𝘂𝗻𝗮 𝗯𝗲𝗯𝗲 𝘄𝗮𝗻𝗴𝘂 𝗺𝗶𝗲 𝗵𝗮𝗽𝗮 🥰🙌
𝗪𝗲 𝗳𝘂𝘁𝗮 𝗵𝗶𝘆𝗼 𝗸𝗮𝘂𝗹𝗶,😅Tuma picha yake nikuambie kitu
Hatujali wala nini...maneno yako hayatoboiSiwapumzishi hawa watu mpaka waache kuwa ombaomba watafute kazi sasa
🤣🤣🤣🤣View attachment 2910557Eeeeh, kachokonoa Mzinga
Bei ganiHatujali wala nini...maneno yako hayatoboi
..hivyo basi mizinga tutaendelea nayo...
Anaetaka kutomba na atoe hela
Bro hunishauri lolote kuhusu hawa ombaomba.Wanaume tumeumbwa kutoa na Wanawake wameumbwa kupokea.
Changamoto ni pale una kipato kidogo alafu unataka umiliki Mademu 10 Kwa pamoja.
Imagine umeombwa shilingi 10,000 ya Umeme na hao wote 10 utaacha kulalamika na kuja kuwaandika Uzi humu?
Miliki demu mmoja mkali ambaye utaweza kutulia naye na kumuhudumia, akikuomba shilingi 30,000 ya Saluni unamrushia Chapu na TigoPesa.
Sasa we jifanye muchknow umiliki PisiKali 10 alafu wote wakataka hela ya Saluni 😜
Kwema niambie ustadhiShekhe kwema huko?