YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,155
- 36,337
🤣🤣🤣 basi bora nidate wababa km mzabzabMamaa muonekano wa nje nitofauti nawandani,alafu kwangu wanaweza kubahave vizuri nisijue tabia zao,ila Don ndo anawajua vizuriii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣 basi bora nidate wababa km mzabzabMamaa muonekano wa nje nitofauti nawandani,alafu kwangu wanaweza kubahave vizuri nisijue tabia zao,ila Don ndo anawajua vizuriii
Ndio kwani hukuniona? 🤣🤣🤣duh, kumbe we lishangazi na husemi😅
mi niliona pisi, labda huzeeki haraka😅Ndio kwani hukuniona? 🤣🤣🤣
🤣🤣🤣 nashinda gymmi niliona pisi, labda huzeeki haraka😅
[emoji134][emoji1787][emoji1787][emoji1787] basi bora nidate wababa km mzabzab
[emoji134]
itabidi unitumie moja pm nikuone vizuri🤣🤣🤣 nashinda gym
itabidi unitumie moja pm nikuone vizuri
sasa si pm jamani tunabadilishana😅Unikome hapa nishapewa talaka moja ya onyo kwann jana nilituma picha [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Afu wewe unataka nipewe mbili zilizobaki niachike mazima!!! Akhu SITAKI
Exactly! Chukua maua yakoNae mwanaume akikupenda usipomwomba Hela Huwa anajisikia vibayaaa....ana mashaka nani anakutimizia mahitaji maalumuu?
sasa si pm jamani tunabadilishana[emoji28]
aisee unavonikwepa😂 nakupa marksPiem ndio kajaa nimempa password yeye ndo anayewajibu ss hivi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ukiona unapewa majibu tofauti ujue “Chuma kina type “ [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
aisee unavonikwepa[emoji23] nakupa marks
😅😅😅Kingereza ni lugha ya mahabatena masuala ya mapenzi ukichomekea na chingereza kunakua na kauzito hivi kama hiyo uliyoandika mwanzo
Debe tupu haliachi kutoka mdogo wangu😅😅😅😅Mbona alisema pesa ipo ni wewe tu na matumizi yako [emoji23][emoji23][emoji23]