moneytalk
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 7,976
- 16,769
viwili vya afya shooWacha weeeeee!!!
Na umeula kweli [emoji119]
Masaa yameenda mechi ilikuwa kali [emoji12]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
viwili vya afya shooWacha weeeeee!!!
Na umeula kweli [emoji119]
Masaa yameenda mechi ilikuwa kali [emoji12]
wewe unaweza kuzaa mtoto wa miaka 19?? acha chai wewe😂[emoji1787][emoji1787][emoji1787] nataka wazee wenzangu sio kitoto ninachoweza kukizaa
viwili vya afya shoo
wewe unaweza kuzaa mtoto wa miaka 19?? acha chai wewe[emoji23]
D ni wangu tu,tunafanya kwa afya[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kwa masaa yale sio viwili shouga
D ni wangu tu,tunafanya kwa afya
Pambana na watoto wenzako dogo.tunda damu😋
Pambana na watoto wenzako dogo.
Acha watu wazima wapendane wao kwa wao.
[emoji1787][emoji1787]hapo nakuachia wewe sasa umuulize kama anarafiki mwenye sifa kama zakeD amekuvuruga sana aiseee!!
D hana rafiki yake mwenye yuko km yeye uniweke? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
😅😅😅😅 Ninam examine kwanza muda muafaka ukifika ntakutambulisha auntiee.Mwambie huyo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Vipi na wewe wako mbona hujanitambulisha mdogo angu? Nasubiri wifi
[emoji1787][emoji1787]hapo nakuachia wewe sasa umuulize kama anarafiki mwenye sifa kama zake
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] Ninam examine kwanza muda muafaka ukifika ntakutambulisha auntiee.
Si unajua mdogo wako ninavyopenda kucheza na password namfuatlia A to Z. [emoji4][emoji4][emoji4]. Yaani mpaka nimjue fika
Sitaki mizoga mimi kabisa.
Utamwona siku moja tu tena ntakuita ww na ma auntiee zangu wote mshuhudie. [emoji846][emoji846][emoji3]
Huyu ni mtu wa Mungu kabisa.Ewaaaah hayo ndio maneno sasa [emoji4][emoji4][emoji4]
Usije kubeba jini visirani, hatutokuelewa kabisaa
Huyu ni mtu wa Mungu kabisa.
Hajui uhuni au nn. Hata kusuka hasuki.
Na ana akili za darasani kama mimi tu.
Hata course tunayosoma ni moja [emoji846][emoji846][emoji846].
Damu zinaendana kabisa ila bado namchimba.
But for what i can say yuko vyedi. Sana [emoji110] anafaa kuwa mama watoto wangu.
Sawa auntiee naacha sema watu ndo wachokozi mi nifanyeje.Arrirriiiiiiiiiiiiiiiiiii harusi tunayo
Ila nakuomba tu uache vurugu hazikupendezi bana [emoji4][emoji4][emoji4]
Mamaa muonekano wa nje nitofauti nawandani,alafu kwangu wanaweza kubahave vizuri nisijue tabia zao,ila Don ndo anawajua vizuriiiMhmm!! Unataka kunibania shouga, inamaana wewe huwajui mashemeji zako wale ma gentlemen [emoji12]
duh, kumbe we lishangazi na husemi😅Huku napiga jogging [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hii imekaaje mkuu, nipe darasa kwa ufupi niongeze na znguKama hakupi game kwa ratiba hapo ndiyo anakupenda
Zingine mbwembwe