Mwanamke akikupenda kweli, ukimsifia anafurahi

Mwanamke akikupenda kweli, ukimsifia anafurahi

Pambana na watoto wenzako dogo.

Acha watu wazima wapendane wao kwa wao.

Mwambie huyo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Vipi na wewe wako mbona hujanitambulisha mdogo angu? Nasubiri wifi
 
Mwambie huyo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Vipi na wewe wako mbona hujanitambulisha mdogo angu? Nasubiri wifi
😅😅😅😅 Ninam examine kwanza muda muafaka ukifika ntakutambulisha auntiee.

Si unajua mdogo wako ninavyopenda kucheza na password namfuatlia A to Z. 😊😊😊. Yaani mpaka nimjue fika

Sitaki mizoga mimi kabisa.

Utamwona siku moja tu tena ntakuita ww na ma auntiee zangu wote mshuhudie. 🙂🙂😀
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] Ninam examine kwanza muda muafaka ukifika ntakutambulisha auntiee.

Si unajua mdogo wako ninavyopenda kucheza na password namfuatlia A to Z. [emoji4][emoji4][emoji4]. Yaani mpaka nimjue fika

Sitaki mizoga mimi kabisa.

Utamwona siku moja tu tena ntakuita ww na ma auntiee zangu wote mshuhudie. [emoji846][emoji846][emoji3]

Ewaaaah hayo ndio maneno sasa [emoji4][emoji4][emoji4]

Usije kubeba jini visirani, hatutokuelewa kabisaa
 
Ewaaaah hayo ndio maneno sasa [emoji4][emoji4][emoji4]

Usije kubeba jini visirani, hatutokuelewa kabisaa
Huyu ni mtu wa Mungu kabisa.
Hajui uhuni au nn. Hata kusuka hasuki.

Na ana akili za darasani kama mimi tu.

Hata course tunayosoma ni moja 🙂🙂🙂.

Damu zinaendana kabisa ila bado namchimba.

But for what i can say yuko vyedi. Sana ✊ anafaa kuwa mama watoto wangu.
 
Huyu ni mtu wa Mungu kabisa.
Hajui uhuni au nn. Hata kusuka hasuki.

Na ana akili za darasani kama mimi tu.

Hata course tunayosoma ni moja [emoji846][emoji846][emoji846].

Damu zinaendana kabisa ila bado namchimba.

But for what i can say yuko vyedi. Sana [emoji110] anafaa kuwa mama watoto wangu.

Arrirriiiiiiiiiiiiiiiiiii harusi tunayo

Ila nakuomba tu uache vurugu hazikupendezi bana [emoji4][emoji4][emoji4]
 
Arrirriiiiiiiiiiiiiiiiiii harusi tunayo

Ila nakuomba tu uache vurugu hazikupendezi bana [emoji4][emoji4][emoji4]
Sawa auntiee naacha sema watu ndo wachokozi mi nifanyeje.

Ila ok sitaanzisha tena ugomvi. 🫶🫶👏
🙂🙂🙂
 
Back
Top Bottom