Mwanamke akikupenda kweli, ukimsifia anafurahi

Mwanamke akikupenda kweli, ukimsifia anafurahi

[emoji23][emoji23][emoji23] kungwi umeweza haya nipe vyombo sasa nikatulie kwa bwana
Kwanza embu fikiria jinsi mlivyoanza na mashamsham na shemela kipindi kike, kwa siku simu + sms haziishi mapaka zakuulizana "UNAKULA NINI MCHANA HUU" 😄😄 Alafu unataka kuchapa lapa kwa viishu vidogo dogo ambavyo mkikaa nusu saa tu mmevimaliza, kumbatio + kisses kibao Kama ndio mnaanza😊
 
Mxiewwwww!! Afu na hili baridi unataka anikaze nani?!

Mrs Kwevo song lake jipya la honey ka paste kwa wahindi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaha hilo baridi la mkoa gani kwanza tuanzie hapo🤣🤣
 
Kwanza embu fikiria jinsi mlivyoanza na mashamsham na shemela kipindi kike, kwa siku simu + sms haziishi mapaka zakuulizana "UNAKULA NINI MCHANA HUU" [emoji1][emoji1] Alafu unataka kuchapa lapa kwa viishu vidogo dogo ambavyo mkikaa nusu saa tu mmevimaliza, kumbatio + kisses kibao Kama ndio mnaanza[emoji4]

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Wacha weee

Kungwi umeweza, umeweza teeeenaaa!!

Endelea kutoa kitchen party, mwali wako niko hapa sitoki
 
Back
Top Bottom