fyddell
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 12,026
- 22,549
Mwenzako mwanzo alikuwa na mawazo ya kuchapa lapa😂😂hakuna kuachika dada tunakaba hadi kieleweke[emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwenzako mwanzo alikuwa na mawazo ya kuchapa lapa😂😂hakuna kuachika dada tunakaba hadi kieleweke[emoji1787]
Now you're in your sense ahuh😄😊Kwanza kuachika achika sio sifa nzuri [emoji23][emoji23][emoji23]
ndio😁Mshamba unataka shemeji yako aniache? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Umeonae Ila kanionya niliweka Mambo public hata yeye atashiriki kwenye huo mlogo😂😂tena masuala ya mapenzi ukichomekea na chingereza kunakua na kauzito hivi kama hiyo uliyoandika mwanzo
Mwenzako mwanzo alikuwa na mawazo ya kumchapa lapa[emoji23][emoji23]
Now you're in your sense ahuh[emoji1][emoji4]
Unampigia debe mshamba? Muulize kwanza yupo tayari kutoboka?😂😂ngoja nikusaidie kupiga debe
ndio[emoji16]
mshamba😋 unantaka bana usijibaneanikaze nani?!
Kwanza embu fikiria jinsi mlivyoanza na mashamsham na shemela kipindi kike, kwa siku simu + sms haziishi mapaka zakuulizana "UNAKULA NINI MCHANA HUU" 😄😄 Alafu unataka kuchapa lapa kwa viishu vidogo dogo ambavyo mkikaa nusu saa tu mmevimaliza, kumbatio + kisses kibao Kama ndio mnaanza😊[emoji23][emoji23][emoji23] kungwi umeweza haya nipe vyombo sasa nikatulie kwa bwana
mshamba[emoji39] unantaka bana usijibane
Hahaha hilo baridi la mkoa gani kwanza tuanzie hapo🤣🤣Mxiewwwww!! Afu na hili baridi unataka anikaze nani?!
Mrs Kwevo song lake jipya la honey ka paste kwa wahindi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Utaweza hapo mshamba_hachekwi ? Sio one game man down ohoo🤣🤣🤣Nakooojoaaaaaaaa!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Thubutuuuu!! Mimi nataka walioshindikana km CW
hawa hela tu😂 ukiwa nazo case closedUtaweza hapo mshamba_hachekwi ? Sio one game man down ohoo🤣🤣🤣
Kwanza embu fikiria jinsi mlivyoanza na mashamsham na shemela kipindi kike, kwa siku simu + sms haziishi mapaka zakuulizana "UNAKULA NINI MCHANA HUU" [emoji1][emoji1] Alafu unataka kuchapa lapa kwa viishu vidogo dogo ambavyo mkikaa nusu saa tu mmevimaliza, kumbatio + kisses kibao Kama ndio mnaanza[emoji4]
Hahaha hilo baridi la mkoa gani kwanza tuanzie hapo[emoji1787][emoji1787]
Utaweza hapo mshamba_hachekwi ? Sio one game man down ohoo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
hawa hela tu[emoji23] ukiwa nazo case closed