Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23]Mkuu unakula hela za wanaume wenzako, kuna boya linamtunza huyo manzi ila halipendwi unapendwa wewe hivyo basi mmehongwa wote.
wewe ni mtu wa kula take away kweli?Alikuta picha kwenye Facebook messenger yangu. Picha yenyewe ni dogo mmoja ametoka kuoga, amefumua nywele. Maana nilimwambia ukifumua nataka nizione nywele zilivorefuka.
Aliniwakia sana. Tena ilikua usiku tumetoka Sunrise Beach Resort vizuri tu. Tumefika karibu na kwao nataka nimuage ndio akanizuia, akatoa cm yake akanionesha ile picha kumbe alichukua screenshot akajitumia.
Daah, nikawa mpole. Akanichana sana pale. Fala nimekaa kimya tu. Sijibu kitu. Huyo akaingia kwao. Nikasepa.
Infact ni kweli yule dogo huwa namla. Sema hana akili za maisha ndio maana sijamtilia maanani. Nakapendea umri wake mdogo na uzuri wake.
Week mbili zimepita mimi na manzi wangu hatuna mawasiliano. Juzi nashangaa anagonga hodi getto nikafungua akanikabidhi bahasha. Akasema mzigo wako huo. Akasepa.
Kufungua nakuta perfume na kikaratasi ameandika "this is for you my love. Mlolongo" Nikajiuliza maswali mengi sana, na kujutia juu.
Jana nilipita Mliman City kuulizia bei ya hii perfume nikaambiwa inauzwa 175,000 mwisho mia sabini.
Nimeamini manzi wangu ananipenda mno. Sana.
View attachment 1888018
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kabisaAsa picha ya pafyumu umeweka ila picha ya dogo ametoka kuoga kafumua nywele huweki, unatukwaza sana mwamba!
Nitajuaje...Unyunyu ukiisha unakibarua cha kumaintain..Usijerudi kwenye zile zetu zinazobadilika harufu kulingana na nyakati..(joto,baridi,jua kali nk..[emoji16][emoji16])..
By the umejiridhisha kama si fake?..
Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
Mwenzie zungu alipewa bia akaenda getto la dem inawezekana akapewa na game alaf 🔥🔥🔥🔥🔥Jiandae na Petrol
Ingia youtube..search hicho..Nitajuaje...
Mie nyunyu zangu hazizidi 30,000.
Nimepokea kwa mikono miwili. Nimeridhika.
Ndiyo raha yenu,Mchuno wiki mbili nitoe hela yangu? Hongera kwa kumkuna.
Mwamba dada yetu anakuletea manukato ya 175k alafu unajiita bachelor!!?Bachelor - Muda wa kupika = Takeaway
Hatari sanaMwenzie zungu alipewa bia akaenda getto la dem inawezekana akapewa na game alaf 🔥🔥🔥🔥🔥
Ukute hiyo hela yà kukununulia wewe perfume amepewa na msela wake mwingine baada ya kupelekewa moto usio na kifani ndan ya hizo wiki mbili, na wewe upo hapa unajidai unapendwa,Alikuta picha kwenye Facebook messenger yangu. Picha yenyewe ni dogo mmoja ametoka kuoga, amefumua nywele. Maana nilimwambia ukifumua nataka nizione nywele zilivorefuka.
Aliniwakia sana. Tena ilikua usiku tumetoka Sunrise Beach Resort vizuri tu. Tumefika karibu na kwao nataka nimuage ndio akanizuia, akatoa cm yake akanionesha ile picha kumbe alichukua screenshot akajitumia.
Daah, nikawa mpole. Akanichana sana pale. Fala nimekaa kimya tu. Sijibu kitu. Huyo akaingia kwao. Nikasepa.
Infact ni kweli yule dogo huwa namla. Sema hana akili za maisha ndio maana sijamtilia maanani. Nakapendea umri wake mdogo na uzuri wake.
Week mbili zimepita mimi na manzi wangu hatuna mawasiliano. Juzi nashangaa anagonga hodi getto nikafungua akanikabidhi bahasha. Akasema mzigo wako huo. Akasepa.
Kufungua nakuta perfume na kikaratasi ameandika "this is for you my love. Mlolongo" Nikajiuliza maswali mengi sana, na kujutia juu.
Jana nilipita Mliman City kuulizia bei ya hii perfume nikaambiwa inauzwa 175,000 mwisho mia sabini.
Nimeamini manzi wangu ananipenda mno. Sana.
View attachment 1888018
wiki hii atakuletea lita tano za petrol utuambieNimefikiria hivihivi pia