Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo kanununia fekero, shukuru ni zawadiAlikuta picha kwenye Facebook messenger yangu. Picha yenyewe ni dogo mmoja ametoka kuoga, amefumua nywele. Maana nilimwambia ukifumua nataka nizione nywele zilivorefuka.
Daaah. Wabongo bwana.Hapo imaanisha kaliwa na njemba yenye hela na imempa pesa ya maana. Hasira zake zimeisha na ili kuridhisha nafsi yake juu ya kuliwa kwake asijione msaliti ndio kakuletea hiyo zawadi.
Kwa kifupi unajipulizia manukato yaliyotakana na kulalwa mpenzi wako.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] umejua kunifurahishaAsa picha ya pafyumu umeweka ila picha ya dogo ametoka kuoga kafumua nywele huweki, unatukwaza sana mwamba!
Hahahaah anamsubiri aingie kwenye 18 zake, hata hivyo huenda hio ni meseji kuwa Kuna Dume limemhonga huyo bintiKwahio hizo week mbili hata hujamtafuta na unajua umemkosea mpaka amekutafuta yeye. Wanawake wengine wanapenda kiboya.
Sasa nani anachosha mwili wake?! So ukilala na wanaume 100 kisha ukaacha mwanaume ndio umemkomoa?! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ila kuna wanawake na wanawake na nusu aisee[emoji1487]yan mim tukio moja tu nakupiga matukio kama mia na nakuacha dadeki staki utani...nitreat vizur i give yu heaven ukimessup mazee nakupatia hell sipunguzi siongezi [emoji28]unapata unachostahili
sio tu ukuni wa mchizi upo jikon,bali demu ananyonya dushe ya jamaa huku anakutumia sms[emoji3][emoji3][emoji3]Sio tu yuko na mshikaji bali ukuni wa mchizi uko jikoni unapashwa joto wakati amepokelea simu yake akiwa kifuani kwako!
Hahahahah maninxsio tu ukuni wa mchizi upo jikon,bali demu ananyonya dushe ya jamaa huku anakutumia sms[emoji3][emoji3][emoji3]
Sasa nani anachosha mwili wake?! So ukilala na wanaume 100 kisha ukaacha mwanaume ndio umemkomoa?! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kila mwanaume unaelala nae anaondoka na baraka zako za kupata mtu bora.
Mwanamke ndo anampenda sana mkaka ndo maana anamhonga..ahaaaaaa.Kwahio hizo week mbili hata hujamtafuta na unajua umemkosea mpaka amekutafuta yeye. Wanawake wengine wanapenda kiboya.
Ni ujinga mimi siwezi.Wanawake wengine cjui wanafeli wapiii,
Yani ukosewe, uchuniwe bado msamaha uombe wewe woiiiiii
Mwanamke alishawahi kukupa zawadi ya sh ngapi?Tuinywe kavu kavu au ndio umeendea vitafunwa?
☕
Mwanamke yupi sasa? Mama,Dada,Shangazi....?Mwanamke alishawahi kukupa zawadi ya sh ngapi?
Yaaani Acha tu. Me mchuno ungeendelea hadi penzi lingezimia lenyeweNi ujinga mimi siwezi.