Mwanamke akikupenda raha, pamoja na kumcheat kaninunulia perfume ya 170,000/=

Alaf siku ukichomwa Moto huko getoni waje ndugu zko hku kulalama wanawake wanaroho mbaya
 
wewe ni mtu wa kula take away kweli?
 
Unyunyu ukiisha unakibarua cha kumaintain..Usijerudi kwenye zile zetu zinazobadilika harufu kulingana na nyakati..(joto,baridi,jua kali nk..[emoji16][emoji16])..
By the umejiridhisha kama si fake?..

Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
 
Nitajuaje...
Mie nyunyu zangu hazizidi 30,000.

Nimepokea kwa mikono miwili. Nimeridhika.
 
Kwahiyo unaona sisi hatufai kuona hizo nywele za dogo? Weka picha na sisi tuone ili tuweze kuchangia maada kwa ufasaha
 
Ukute hiyo hela yà kukununulia wewe perfume amepewa na msela wake mwingine baada ya kupelekewa moto usio na kifani ndan ya hizo wiki mbili, na wewe upo hapa unajidai unapendwa,

Sent from my TECNO K9 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…