Mwanamke akikwambia vaa condom, usikatae

Mwanamke akikwambia vaa condom, usikatae

Juzi kati nilikutana na pisi, nikawa na itongoza ni barabarani wakati huo tukapishana na mdada kafungasha nikapiga jicho wakati nageuka sijakawa sawa nasikia huyu pisi ananiambia angalia tu? Baba fahari ya macho haifilisi duka
 
Mwanamke akikwambia vaa condom usikatae na muheshimu sana.
Utamheshimuje mtu ambaye yupo njia panda na wewe?

Ukikuta anakueleza hivyo, lazima atakuwa mmojawapo wa makundi tafuatayo:

1.Muathirika wa ukimwi ama utids.
2.Yupo kibiashara zaidi na hana 'munkari' wowote wa kimapenzi na wewe.
3.Kuzuia mimba (ni suala la makubaliano ya couple halitakiwi kuamriwa na mmoja).

Ndiyo maana dini hazifundishi matumizi ya condom bali kuacha uzinzi.

Kuna umuhimu gani kufanya mapenzi yaliyo kinyume cha asili?

Kuna tofauti gani na kujipiga punyeto sasa hapo?
 
Baada ya hapa akaniambia "Umeshajua hali yangu najua utaniacha tu".

Sasa wakuu, hata nikimuacha kosa langu liko wapi?🤷🏽‍♂️
IMG_20250309_221205.jpg
 
Sidhani Kwan inawezekana
Ujue nini, mi nikihonga mwanamke hujihakikishia mambo mawili muhimu: uhuru wa penzi pamoja na mpenzi husika, kuwa sasa yupo kwenye himaya yangu kikamilifu na karidhia.

pia saikolojia yangu huiimarisha vizuri siha yangu na kuwa kama simba dume na kwa kujiamini.

Lakini bure bure mama hata siwezi mie, nitajiona dhaifu na dhalili sana.

Haya, mmetoka kwa mtindo wa 'free lunch' si ndiyo, ikitokea shida kidogo tu inayohitaji kutanzuliwa kwa pesa ndipo hapo mwanaume hugeuka kalunguyeye namna afanyavyo akiguswa😁😁😜ni nywiiii kichwa ndani kule.

Hata mood ya mnara kusoma kwa kunyooka itakuwepo kweli!
 
Back
Top Bottom