Mwanamke akikwambia vaa condom, usikatae

Mwanamke akikwambia vaa condom, usikatae

Ujue nini, mi nikihonga mwanamke hujihakikishia mambo mawili muhimu: uhuru wa penzi pamoja na mpenzi husika, kuwa sasa yupo kwenye himaya yangu kikamilifu na karidhia.

pia saikolojia yangu huiimarisha vizuri siha yangu na kuwa kama simba dume na kwa kujiamini.

Lakini bure bure mama hata siwezi mie, nitajiona dhaifu na dhalili sana.

Haya, mmetoka kwa mtindo wa 'free lunch' si ndiyo, ikitokea shida kidogo tu inayohitaji kutanzuliwa kwa pesa ndipo hapo mwanaume hugeuka kalunguyeye namna afanyavyo akiguswa😁😁😜ni nywiiii kichwa ndani kule.

Hata mood ya mnara kusoma kwa kunyooka itakuwepo kweli!
😹😹😹 Kumbe uwa unahonga
 
Kuna mwingine humuhumu alikujaa na uzi ukisema
"Ukiona mwanamke ametoboa pua vaa condom"
"Ukikuta mwanamke amevaa shanga vaa condom"
"Ukikuta mwanamke ametoboa masikio zaidi ya tundu moja kwa sikio vaa condom"
"Ukikuta mwanamke anavua nguo harakaharaka faraghani vaa condom"
"Ukikuta mwanamke amevaa kikuku vaa condom"
Sikumbuki jina la uzi nilitaka niziweke nadharia zake na uzoefu wake wa kusoma afya kwa macho
 
Baada ya kumsikia Trump na Musk wakitilia mkazo kuwa fedha za wamarekani ni kwa ajili yao, na baada ya kukumbuka 90s na mabalaa ya HIV, kuna haja ya kusitisha mapambano yasiyo halali, hata nikiambiwa nivae helmet leo, siingizi timu uwanjani. Kwanza helmet la nini, hakuna kitu sipendi kama condom.
 
USAID ishafungwa remember
Tusitishane mkuu
mbona serekale sikivu ilishasema itahudumia
Screenshot_20250314-193245_Adobe Acrobat.jpg
 
Juzi kati nilikutana na pisi, nikawa na itongoza ni barabarani wakati huo tukapishana na mdada kafungasha nikapiga jicho wakati nageuka sijakawa sawa nasikia huyu pisi ananiambia angalia tu? Baba fahari ya macho haifilisi duka
She is a keeper. Mie mwanamke wa namna hiyo ndio napenda ata mie nitampa ruhusa ya kucheki wanaume wenye siz pack na walamba lips
 
Back
Top Bottom