Mwanamke akikwambia vaa condom, usikatae

Mwanamke akikwambia vaa condom, usikatae

Mwaka 2018 hivi nilikua field nyanda za juu kusini, upwiru ulinikamata sana nikapata mdada tu wa mtaani siku nikiwa nae kwa room nilitumia ndom ila sasa nikawa nachelewa kuwatoa waebrania, daah afu time ilkua inakimbia na nilitakiwa kuwahi kazini karibia kukucha..

Nikaona isiwe kesi waebrania hawatoki tu nikataka kuvua ndom ila yupe dada alkua anakataa kabisa kushiriki nae kavu, nikakomaa sana ila wapi mwisho wa siku nikaforce akakubali kishingo upande nikatoa wagiriki ndani then nikaondoka zangu..

Oyaaa nilikuja kuugua bonge la U.T.I sitasahau ilinicost sana kuitibu ile kitu make iliathiri mpaka mfumo wa mkojo. Kuanzia hapo nilikoma kuenda dry na mwanamke nisiejuana nae. Kuuza mechi ni risk sana unaeza ondoka na mzee mzima HIV au STDs.
 
Kuna mwingine humuhumu alikujaa na uzi ukisema
"Ukiona mwanamke ametoboa pua vaa condom"
"Ukikuta mwanamke amevaa shanga vaa condom"
"Ukikuta mwanamke ametoboa masikio zaidi ya tundu moja kwa sikio vaa condom"
"Ukikuta mwanamke anavua nguo harakaharaka faraghani vaa condom"
"Ukikuta mwanamke amevaa kikuku vaa condom"
Sikumbuki jina la uzi nilitaka niziweke nadharia zake na uzoefu wake wa kusoma afya kwa macho
Kwa kuongezea ile mpo room mwanamke anavua nguo afu ukakutana na tattoos mgongoni, mat@koni au kifuani karibu na kitovu au wengine wanachora mpaka sehemu nyeti kabisa, aaaargh hapo usijiulize mara mbili mbili wewe vaa kondom hata 3 ukikosa kondom vaa hata mfuko wa mkate nigga.

Hapo hutoki salama ukiuza mechi, ukifeli kabisa hairisha mechi tu kabla hujaingia matatizoni.
 
Back
Top Bottom