Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
KaribuHeeee hayaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KaribuHeeee hayaaa
Tumekubaliana tutaenda kupima wote mkuu, huyu ni for future kaka sina shaka nae.Mtafute bibie uchukue HIV test mjipime au mwende wote kituo Cha afya mkapimee.
Hiyo ndio njia rahisi.
Kwa mashushu hayooo sikaribiiii🙌Karibu
Mbona hayo ni maelekezo mama barikiK
Kwa mashushu hayooo sikaribiiii🙌
Naona KATAA NDOA TUNAWAPIGA ZA CHEMBA.Tumekubaliana tutaenda kupima wote mkuu, huyu ni for future kaka sina shaka nae.
Kataa ndoa kazi wanayo mkuu hasa huyo Intelligent businessmanNaona KATAA NDOA TUNAWAPIGA ZA CHEMBA.
Cc.kataa ndoa all over the world 😊😊
tuna zikia wapi??😁😂Acha kabisa mi juzi nimeuza mechi baada ya muda mrefu sana, soon tunaenda kupima.
Naam niite raisi wa Chama Cha ma jobless pro maxKataa ndoa kazi wanayo mkuu hasa huyo Intelligent businessman
Ukiona hivyo jua kuwa wewe ni mchepuko.Anajali afya yake yeye, maana yake hakuamini
KATAA NDOA TUNAWAPIGA ZA CHEMBA 😂😂😂tuna zikia wapi??😁😂
Amekuja president wa ma jobless pro maxKataa ndoa kazi wanayo mkuu hasa huyo Intelligent businessman
Akachukue cheti cha ufundi stadi kwanza ndio aje achangie mada😂Amekuja president wa ma jobless pro max
Natamani kusikia maoni yake maana PM kasema twende VETA 🤣🤣
Naona upo vakeshenNaam niite raisi wa Chama Cha ma jobless pro max
Farm house😂tuna zikia wapi??😁😂
kaka leo nina furaha, sito sema jambo 😁😂Amekuja president wa ma jobless pro max
Natamani kusikia maoni yake maana PM kasema twende VETA 🤣🤣
Mara moja moja tuna furahi kakaNaona upo vakeshen
Unafurahia nn shida au matesoMara moja moja tuna furahi kaka
Kwa kuongezea ile mpo room mwanamke anavua nguo afu ukakutana na tattoos mgongoni, mat@koni au kifuani karibu na kitovu au wengine wanachora mpaka sehemu nyeti kabisa, aaaargh hapo usijiulize mara mbili mbili wewe vaa kondom hata 3 ukikosa kondom vaa hata mfuko wa mkate nigga.Kuna mwingine humuhumu alikujaa na uzi ukisema
"Ukiona mwanamke ametoboa pua vaa condom"
"Ukikuta mwanamke amevaa shanga vaa condom"
"Ukikuta mwanamke ametoboa masikio zaidi ya tundu moja kwa sikio vaa condom"
"Ukikuta mwanamke anavua nguo harakaharaka faraghani vaa condom"
"Ukikuta mwanamke amevaa kikuku vaa condom"
Sikumbuki jina la uzi nilitaka niziweke nadharia zake na uzoefu wake wa kusoma afya kwa macho