Eeh kumbe na flatscreen yako bado hujaolewa 🤣🤣🤣🤣Asante kwa kunipa moyo☺️
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eeh kumbe na flatscreen yako bado hujaolewa 🤣🤣🤣🤣Asante kwa kunipa moyo☺️
Ushindwe na ulegeeni tatizo kwa kweli.
ukikonda utakaa freshi tu na utajiepusha na maradhi mbalimbali.
Wanaume sio watu wazuri nakwambia🙌Eeh kumbe na flatscreen yako bado hujaolewa 🤣🤣🤣🤣
sasa yanini kujitesa?Ushindwe na ulegee
Sunda Magodoro dada maelezo utatolea Ghetto.Nikitembeaga na mwanamke aliyejaaliwa njia nzima anaitwa yeye tu! Mimi wanajifanya hawanioni.
Kibaya zaidi utakuta mkaka ananiita halafu ananiambia "naomba namba ya rafiki yako" hii ni dharau.
Hii huwatokea wanawake wengi ambao hawajapewa mizigo.
Ah hamna bwana sie watu wema kabisa tuna walisha wavalisha na utamu tunawapea buree kabisaWanaume sio watu wazuri nakwambia🙌
Miguu membamba kama stick, haitonogaSunda Magodoro dada maelezo utatolea Ghetto.
Hamtaki kuoaAh hamna bwana sie watu wema kabisa tuna walisha wavalisha na utamu tunawapea buree kabisa
Yani kwamba una Miguu Kama Inspekta Haroun.Miguu membamba kama stick, haitonoga
NdioYani kwamba una Miguu Kama Inspekta Haroun.
Wee harusinkila wikend zipo sema unaokutana nao wewe hawataki kukuoa wewe 🤣🤣🤣🤣Hamtaki kuoa
Karibu Mai, soma replies uchoke mwenyewe 🤣Kichwa cha Habari kimenijta 😜 Abeee
Unaniumiza moyoWee harusinkila wikend zipo sema unaokutana nao wewe hawataki kukuoa wewe 🤣🤣🤣🤣
Oh am sorry nisamehe. That was insensitve of me.Unaniumiza moyo
"Sana inaboa hasa kwa sisi waungwana sana inaboa"
Alisikika izzo business
Duh....serious?.mie navutiwa na ngozi nzuri kwa wanawake wenzangu au nyweleMmh! Mimi huwa namuonyesha babe wangu "angalii ule mzigo"