mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
ought-is fallacy wanasemawishful thinking fallacy...
ninafahamu mtu ambaye ni asexual, ukimuambia kuhusu wadada anakasirika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ought-is fallacy wanasemawishful thinking fallacy...
Mmh! Mimi huwa namuonyesha babe wangu "angalii ule mzigo"Aisee, hivi nyie wanawake nashindwa kuwaelewa, kwa hio na nyie mnashangaa nyashi za wenzenu..
Wadada wengi ukiwa nae matembezini kikapita chuma kina nyashi pro max ukageuza shingo, unashangaa mwenzako kanuna njia nzima.. sasa kama nyie wenyewe mnashangaa sisi tufanye nini?
Ukimuuliza kisa eti 'unani dis-respect mbele yangu'..
Hivi ho asexual wapo?ought-is fallacy wanasema
ninafahamu mtu ambaye ni asexual, ukimuambia kuhusu wadada anakasirika
ndioHivi ho asexual wapo?
We nimekushindwa... 🤣 🤣Mmh! Mimi huwa namuonyesha babe wangu "angalii ule mzigo"

Hopefully kuna tiba zao..ndio
ila nashindwa kabisa kuelewa ni mtu gani ambaye hataki intimacy?
ila sawa tu
Niwe lesbian kwani kwenda mbinguni mimi sitaki!We nimekushindwa... 🤣 🤣
Kama ni mie unaniambia hivyo nitaanza kukuhisi utakuwa lesbian..
Nikitembeaga na mwanamke aliyejaaliwa njia nzima anaitwa yeye tu! Mimi wanajifanya hawanioni.Shida gani tena mnapata? Ebu fafanua
wewe si mnene?Nikitembeaga na mwanamke aliyejaaliwa njia nzima anaitwa yeye tu! Mimi wanajifanya hawanioni.
Kibaya zaidi utakuta mkaka ananiita halafu ananiambia "naomba namba ya rafiki yako" hii ni dharau.
Hii huwatokea wanawake wengi ambao hawajapewa mizigo.
Uliniona wapi?wewe si mnene?
Anhaa, kumbe kutaka unataka lakini tu suala la kiimani linakutisha au sio?Niwe lesbian kwani kwenda mbinguni mimi sitaki!
Hapana! Hata moyo wangu haupo hukoAnhaa, kumbe kutaka unataka lakini tu suala la kiimani linakutisha au sio?
au ndo wale wanene lakini kila kitu kinene huna uwiano?Uliniona wapi?
Dah! Umeongea kwa uchungu sana.Nikitembeaga na mwanamke aliyejaaliwa njia nzima anaitwa yeye tu! Mimi wanajifanya hawanioni.
Kibaya zaidi utakuta mkaka ananiita halafu ananiambia "naomba namba ya rafiki yako" hii ni dharau.
Hii huwatokea wanawake wengi ambao hawajapewa mizigo.
Uliniona wapi?au ndo wale wanene lakini kila kitu kinene huna uwiano?
Asante kwa kunipa moyo☺️Dah! Umeongea kwa uchungu sana.
Ila usijali nyie flat screen ndio mnaolewa hao matakoz tunawachezea na kuwaacha samaki wa mapambo haliwi😜
Asikudanganye ana biiig nyashi... mi nilimuona siku moja, ana mzigo sio poa..au ndo wale wanene lakini kila kitu kinene huna uwiano?
ni tatizo kwa kweli.Uliniona wapi?