Mwanamke akiwa na mkia anajiamini kuliko mwenye degree

Mwanamke akiwa na mkia anajiamini kuliko mwenye degree

Aisee, hivi nyie wanawake nashindwa kuwaelewa, kwa hio na nyie mnashangaa nyashi za wenzenu..

Wadada wengi ukiwa nae matembezini kikapita chuma kina nyashi pro max ukageuza shingo, unashangaa mwenzako kanuna njia nzima.. sasa kama nyie wenyewe mnashangaa sisi tufanye nini?

Ukimuuliza kisa eti 'unani dis-respect mbele yangu'..
Mmh! Mimi huwa namuonyesha babe wangu "angalii ule mzigo"
 
Nikitembeaga na mwanamke aliyejaaliwa njia nzima anaitwa yeye tu! Mimi wanajifanya hawanioni.

Kibaya zaidi utakuta mkaka ananiita halafu ananiambia "naomba namba ya rafiki yako" hii ni dharau.

Hii huwatokea wanawake wengi ambao hawajapewa mizigo.
wewe si mnene?
 
Nikitembeaga na mwanamke aliyejaaliwa njia nzima anaitwa yeye tu! Mimi wanajifanya hawanioni.

Kibaya zaidi utakuta mkaka ananiita halafu ananiambia "naomba namba ya rafiki yako" hii ni dharau.

Hii huwatokea wanawake wengi ambao hawajapewa mizigo.
Dah! Umeongea kwa uchungu sana.
Ila usijali nyie flat screen ndio mnaolewa hao matakoz tunawachezea na kuwaacha samaki wa mapambo haliwi😜
 
Back
Top Bottom