Mwanamke alikuwa chanzo cha mimi kunywa pombe

Eeehh , so akinichepukia nisamehe tu sababu "Sitokufa" .....au maana yako ni ipi Mkuu??

Nahuu utofaut kati ya me na ke unaozungumzia ni wa nyanja ipi??
Tuliamini (na bado kwangu IPO hii), kuwa mwanamke akipenda, hupenda mazima. Ndio maana huwa vigumu kuchepuka. Ikitokea Upendo akauhamishia kwa mwingine, basi baba Chanja nyumbani yu matatani. Kama si kumuua (kwa wale ndugu zangu wa ukanda fulani) basi atafanya visa apewe talaka.
Wakati huo me anaweza chepuka, na lady mpya asiwe moyoni mwake kabisa. Baada ya hapo mapenzi yakaendelea kwa mkewe kama kawaida, na heshima kwa mke ikawa juu.
Mabadiliko yaliyotokea sasa, kwa sababu yoyote ile, mke anaweza akaongozwa na emotions, akachepuka na bado akampenda/akabaki na mumewe. Mfano, mume anaweza Fanya cheating, mke kama sehemu ya kutuliza hasira/uchungu wake anaweza lala na mwanaume na baadae akarud nyumbani na ndoa ikaendelea tena.
Mke wa mleta uzi alikwenda "kujaribu", ila inaonyesha mumewe bado anampenda.
Zipo sababu nyingi zinazopelekea ladies kufanya hivyo huku wanawapenda waume zao.

Utofauti ninaouzungumzia ni huu wa uchepukaji. Tumezoea wanaume wanaongozwa na emotions na ladies feelings. Lakini siku hizi,,,, ngoma inaelekea kuwa droo kama Jana tu ilivyotokea kwa Mchina!!

ANGALIZO:
Siungi mkono uchepukaji. Ila nipo kwenye jamii na nayashuhudia mengi tu
 
Noma sana.
 
Aaaahhh nmekuelewa vzur ,na nmeelewa zaidi kua siku izi hata wanawake wanachepuka tu lkn still wanaweza endelea kumpenda mumewe.

Mimi nasemaje, haijalishi anachepuka kwa kwa kujaribu au lah...nikishajua ,atasepa tuuu hamna namna.
 
Mi mwanamke wangu aliniambi hawapendi wanaume weupe. Huwezi amini aliyevunja ndoa yetu ni msela white kabisa
 
Samahani wangoni.

Ila wanaongoza kwa kula wake za marafiki zao.


Tusiwaamini hawa marafiki zetu hasa tuliowafanya ndugu. Tunajisahau nankuwaona ndugunzetu.

Juzi mmoja kanipiga ila sio masuala ya mapenzi.
Ni kweli ndugu ,hao jamaa wana mfumo wao ,ukichapiwa na ww chapa mke wa jamaa ,na wanawake zao wanapenda hivyo
 
Ni kweli aisee mkuu huwezi ishi na dem ambae huna imani nae coz anytime utahisi anakusaliti
 
Kwamba (Ila jamaa alikuwa anasifika vibaya kwa kuchapa mademu.
Na wife alikuwa anaonesha kuchukia Mimi kuwa na rafiki wa aina hiyo.)





Afu badae wife aka liwa na mtu anae mchukia ,,[emoji41]pole sana
Itakua wife wake aliliwa kwanza kwahiyo akatengeneza defence mechanism
 
Humalizi wiki kadhaa utapata b.p kama bado unaishi nae ,Fukuza huyo au unataka uje kumfukuza wakati umekufa?
 
Ni kweli aisee mkuu huwezi ishi na dem ambae huna imani nae coz anytime utahisi anakusaliti
Ukipata safar utahisi analiwa...akikuaga anaenda kusalimia utahisi analiwa

Mawazo yanakupa Physical complications, utashindwa kula, utapanda madonda tumbo, moyo utauma sana.... Ndo mwanzo wa kufa unatembea barabarani
 

Shosti hawa watu wanataka wafanye wao tuuuuuuuuuuuu, kungwi wangu hua namshukuru sanaaaaaaaaaaaaaaa kwa mafunzo yake ya hekima alinambia usije wahi kumwambia mumeo ume cheat iwe kweli au unahasira NEVER say it hayo maneno yake alikua anakwambia kwa msisitizo anapenda kusema NEBER SAY IT..lol, hawa viumbe wanajitia wako sensitive sana mioyo yao,na niliwahi kumwambia mtu wangu wa karibu usiseme hata akufanyeje mume akajitia anapendwa sanaaaaaa eti ooh mumewangu nime cheat ila sio mara nyingi ni 2tuu looooooooooooooooo wakati mume ndio alie anza kujitia oooh tusafiane nia kweli mke wangu mie nimecheat alivyokua mwehu akasema mie sikwambiiiiiiii hata ulete kisu utake kunichinja sisemi nakwambia niue tuu mumewangu ila si kweli ..
 
Hawa pend I kushare kitumbua hawa, tena hata cha mchepuko ana wivu nacho usiseme mke wa ndoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…