Mwanamke alikuwa chanzo cha mimi kunywa pombe

Samahani wangoni.

Ila wanaongoza kwa kula wake za marafiki zao.


Tusiwaamini hawa marafiki zetu hasa tuliowafanya ndugu. Tunajisahau nankuwaona ndugunzetu.

Juzi mmoja kanipiga ila sio masuala ya mapenzi.
Ha ha ha ha ha mim Mngoni mzee nataka kuja kukutembelea home
 
Samahani wangoni.

Ila wanaongoza kwa kula wake za marafiki zao.


Tusiwaamini hawa marafiki zetu hasa tuliowafanya ndugu. Tunajisahau nankuwaona ndugunzetu.

Juzi mmoja kanipiga ila sio masuala ya mapenzi.

We Ke au Me?
 
mtafute mke wa huyo rafiki yako kamle mkuu....ili nafsi yako itulie
 
Duh
 
Mimi ndiyo maana nacheat kila nikipata chansi kwakua kazi yangu ni kulipiza visasi hata visivyonihusu. Mfano kwa huu mkasa wako natangaza vita na wanawake wa Ruvuma, itaisha baada ya wiki mbili.
Hahah
 
Mimi ndiyo maana nacheat kila nikipata chansi kwakua kazi yangu ni kulipiza visasi hata visivyonihusu. Mfano kwa huu mkasa wako natangaza vita na wanawake wa Ruvuma, itaisha baada ya wiki mbili.
Naunga mkono hoja!!!
 
Ha ha ha ha Mzee hatuaminian kabisa aisee
Mzee kama unarafiki wa kingoni chunga saana.

Na wengi ni matozi kama wakongo. Unakuta mzee mzima bado ana mambo ya ujana.

Ulizia mtaani watakuambia.
 
Mzee kama unarafiki wa kingoni chunga saana.

Na wengi ni matozi kama wakongo. Unakuta mzee mzima bado ana mambo ya ujana.

Ulizia mtaani watakuambia.
Nmeish sana na wangoni mzee nawajua vizur mnoo ukiacha wanawake kinachofuatia ni pombe
 

Wanawake dhaifu sana... "...mimi na wewe mwili mmoja.." Mwanamke anafunguka???
 
Akili zao wanazijuaga wenyewe hawa viumbe, eti nilitaka kujaribu....

Ila pole sn kaka maan mke anauma kw kwel!
Yeye huyo amejaribu wangapi na je alikuwa bikira alipokutana na huyo dada? Au tuseme mwanamke kama alivyomuita.
 
Hawa pend I kushare kitumbua hawa, tena hata cha mchepuko ana wivu nacho usiseme mke wa ndoa

Hua mwanamke akijitia fundi kwenye jambo hili namuona mjinga sanaaaaa,eti usemeee labda uwe tayari unataka sababu yakutokea unaweza sema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…