Mwanamke aliniharibia kabisa maisha yangu, hawa viumbe hatari sana

ungempokea ungekuwa zuzu la mwisho
 
Mkuu sahihi. Nimejifunza. Muda mwingine ili upate somo kamili lazima uonje maumivu ya makosa yako
 
Mkuu sahihi. Nimejifunza. Muda mwingine ili upate somo kamili lazima uonje maumivu ya makosa yako
Pole sana ila zingatia haya
1. Usisomeshe mchumba
2. Asikuzidi akili
3. Asikuzidi kipato
4. Mzalishe watoto watatu harakaharaka kuneutralize moment au kumkeep busy na familia.
5. Nyumbani kwako mfumo dume utawale siku zote maana wanawake wanapaswa kutawaliwa na wanaune sio kutawala.

Cha mwisho uwe unakuja kwenye vikao vyetu wanaume au ukikosa muda basi tuma mwakilishi awe me au tuma hela ya ada ya chama ili usipitwe na mafunzo ya kila wiki.
 
Biblia inasema
Ukimtamani mwanamke umekwisha zini naye.
Kitendo cha kufumbia macho ubadhilifu wa mali za kampuni/ shirika/ ofisi nawe ni unakuwa umeutenda tu.

Mkataba tu wa kazi unakuonya kuhusu wizi
 
Eeeeh hii mpya sasa yaani mke tu ndio nisumbue watu wote.
 
ungempokea ungekuwa zuzu la mwisho
Mkuu niligraduate, yani toka muda huo mimi naishi kimachalena wanawake. Na kitu nilichogundua wanawake wa sasa ni afadhali ukutane naye ashajipata haya ya kumchukua akiwa hajajipata ukamuapgrade, akijipata akaanza kuona bila wewe anaweza kuishi poa tu anapigiwa misele na wanaume labda wana ela zaidi yako au labda ukifulia kama mimi wakati huo nlikuwa napitia msoto balaa hata msosi shida ila kumbe yeye ana zaidi ya milioni ndani tu kaificha.
 
Safi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…