Mwanamke aliyekaa karibu na CAG, says it all!!

Mwanamke aliyekaa karibu na CAG, says it all!!

Kama kikwete,mkapa,na mwinyi wangekuwa mafisadi kama jpm,tanzania tungekuwa mbali sana,kwa juhudi za huyu fisadi jpm,kajenga viwanja vya ndege,meli kila ZIWA,kanunua ndege 9,kajenga hospatali kila kata,watoto elimu bure,mikopo chuo kikuu imeongezeka,miradi mikubwa km bwawa la nyerere,reli ya mwendokasa,vyoote hivi kavifanya kwa mda mfupi wa miaka 5 tuu,hakika ufisadi wake ulikuwa na manufaa kwa nchi,JPM RIP, HAKIKA HATUTAKUSAHAU WATANZANIA,
Watanzania sisi wanafiki sana
 
Mbona mnakuwa wagumu kuelewa!!??..vijana,mimi nazungumzia Mimi nitakavyomkumbuka,kama mkazi wa kiwalani,habari za korosho mimi sizijui ndugu yangu,sina chochote ninachojua kuhusu korosho,nitahukumuje ndugu yangu?..ninashukuru nilichokiona na kikanisaidia ndugu yangu,habari za korosho zinawahusu wakulima wa korosho,kupitia ile miundombinu mimi maisha yangu yamerahisika..mbona hatuelewani!
We ni dereva daladala au bajaji huko kiwalani?
 
Nani kavunjiwa nyumba kiwalani?..barabara zote zilizojengwa zilikuwepo kabla,na hakuna barabara iliyopita sehemu ambapo kuna nyumba ya mtu..
Halafu hilo la kutokulipwa,usiongee kama ni mtu mgeni kwa tz,watu walivunjiwa nyumba kitambo sana hadi leo hii hawajalipwa,inategemeana nyumba yako umeijenga sehemu gani..hilo liko wazi,kwa mfano wakazi waliojenga karibu na hifadhi ya reli,walibomolewa ili kupisha ujenzi wa sgr,unataka nao walipwe??.hufai kuwa kiongozi..watu walibomolewa nyumba zao pale kipawa,uwanja wa ndege,wengine hadi leo hii hawajalipwa..hata magu hajaingia madarakani,tuache unafiki watanzania
Tunajua magu alikuwa anapigaje hela.
Ben na mramba walikula kwa kuuza mashirika ya uma walikula ten %toka kwa wanunuzi kisha wanauziwa bei ya nyanya.
Magu walikula kupitia ujenzi Wa miundo mbinu,mbaya zaidi anaitisha hela bila kuhusisha MTU.
Angalia sasa CAG kamuumbua mchan kweupeee.
 
Madudu Ni mengi sana.. yajayo yanafurahisha
Mimi sikuwa muumini wa Magufuli, lakini naomba kuwaeleza kwa body language ya mwanamke aliyekaa karibu na CAG inasema yote
ripoti ya CAG imejaa siri nzito na siku si nyingi tutaona kuna nini nyuma ya hii report

Huyo mama aliyekaa karibu na msoma repoti simfahamu lakini hisia zangu zinaenda mbali zaidi na kuniambia kuna kitu kwenye hii repoti

Mtazame vizuri utagundua!

View attachment 1747307
 
Back
Top Bottom