Mkuu mambo yao waachie wenyeweWasalam wakuu.
Bila kupoteza muda twende kwenye mada, wanawake hivi kwanini husichague mtu mmoja especially baba wa mtoto ndo awe anakuja home na sio kila mwanaume unamleta kwako kisa unajitegemea hailet picha nzuri.
Kama wewe ni malaya basi jitahid hao wengine mkutane huko nyumba za wageni sio kila mtu unamleta kwako, maadili, heshima viko wap jamani.
Wanawake jirekebisheni.
Exactly YES. Na bado inakua na inajiboresha yenyewe automatically. Cha ajabu ni kwamba watu wanamsingizia shatani.Una maana toka B.C mpaka A.D 😊😊😊😊
Hili sio kwa waliosoma tu hata wale wasiosoma...pia hili sio kwa wanawake tu hata kwa wanaumeWasalam wakuu.
Bila kupoteza muda twende kwenye mada, wanawake hivi kwanini husichague mtu mmoja especially baba wa mtoto ndo awe anakuja home na sio kila mwanaume unamleta kwako kisa unajitegemea hailet picha nzuri.
Kama wewe ni malaya basi jitahid hao wengine mkutane huko nyumba za wageni sio kila mtu unamleta kwako, maadili, heshima viko wap jamani.
Wanawake jirekebisheni.
We unakereka nini.. si anashenyetwa yeye na hatuazimani viungo vya siri kusema zamu yake anaitumia sana.. kodi hachangiwi na mtu shida niniafadhali mwanaume kidogo kuliko mwanamke madume tofaut tofauti yanakuja kukushenyeta kwako.
Kwani Mtu akijilia vyake kuna shida gani mkuu?Wasalam wakuu.
Bila kupoteza muda twende kwenye mada, wanawake hivi kwanini husichague mtu mmoja especially baba wa mtoto ndo awe anakuja home na sio kila mwanaume unamleta kwako kisa unajitegemea hailet picha nzuri.
Kama wewe ni malaya basi jitahid hao wengine mkutane huko nyumba za wageni sio kila mtu unamleta kwako, maadili, heshima viko wap jamani.
Wanawake jirekebisheni.
Halina Tajiri wala Maskini, Mfalme au Mtwana wote linawahusu.Hili sio kwa waliosoma tu hata wale wasiosoma...pia hili sio kwa wanawake tu hata kwa wanaume
Hii 50 50 inawaharibu nyie wanawake mkubali natureJe mwanaume mwenye ghetto lake anaruhusiwa kupeleka wanawake zaidi ya mmoja hapo ghetto kwake?
Ni kwake jamni 😃afadhali mwanaume kidogo kuliko mwanamke madume tofaut tofauti yanakuja kukushenyeta kwako.
Sawa kabisa. Watu bhana! Eti wanataka kumpangia hata namna ya kuishi au kufanya kana kwamba wanamlipia kodi ya pango. Wapite hv.Ni kwake jamni 😃
Duh! Tumefikaje huko siasani tena??Mbowe hafai kuendelea kuwa kiongozi
Kwa mwanamke haipendezi kwa tabia hizo anaweza kustuka ana ana age ya 40 hajaolewaHii nchi tulipata Uhuru toka 1961.
Sasa unataka waishi kwa matakwa yako au yao?
Kama ni maisha amechagua tumuache aishi anavotaka. Kuna wanawake wengine hawataki kabisa kuskia ishu ya kuolewa mkuuKwa mwanamke haipendezi kwa tabia hizo anaweza kustuka ana ana age ya 40 hajaolewa
Shukran mkuuNa Kwako pia..
Sio kila mwanaume akiingia kwenye Chumba cha mwanamke n Mtu wake/Bwana wakeWasalam wakuu.
Bila kupoteza muda twende kwenye mada, wanawake hivi kwanini husichague mtu mmoja especially baba wa mtoto ndo awe anakuja home na sio kila mwanaume unamleta kwako kisa unajitegemea hailet picha nzuri.
Kama wewe ni malaya basi jitahid hao wengine mkutane huko nyumba za wageni sio kila mtu unamleta kwako, maadili, heshima viko wap jamani.
Wanawake jirekebisheni.