BIG DOGG
JF-Expert Member
- Sep 15, 2024
- 1,869
- 2,707
Mkuu mambo yao waachie wenyeweWasalam wakuu.
Bila kupoteza muda twende kwenye mada, wanawake hivi kwanini husichague mtu mmoja especially baba wa mtoto ndo awe anakuja home na sio kila mwanaume unamleta kwako kisa unajitegemea hailet picha nzuri.
Kama wewe ni malaya basi jitahid hao wengine mkutane huko nyumba za wageni sio kila mtu unamleta kwako, maadili, heshima viko wap jamani.
Wanawake jirekebisheni.